Recent Posts
 
Notifications
Clear all

Recent Posts

 |  Forums  |  Topics
Posts with their shortened content
RE: Nauza kiwanja maeno ya kibamba kwa Mangi  

By Anonymous, 3 weeks ago

  Kiwanja kinaukubwa kiasi gani?
RE: Nauza kiwanja maeno ya kibamba kwa Mangi  

By Anonymous, 3 weeks ago

  Ungeweka hata picha mwanetu.
RE: Nauza kiwanja maeno ya kibamba kwa Mangi  

By Anonymous, 3 weeks ago

  Kinaukubwa gani unauza bei gani?
Kama unahitaji spare za Nissan Civilian na Toyota Coaster niambia spare gani unahitaji.  

By Anonymous, 3 weeks ago

 
Nauza kiwanja maeno ya kibamba kwa Mangi  

By Anonymous, 3 weeks ago

  Eneo ni zuri sana kwa makazi Uwekezaji Umeme upo Maji yapo Kufika unalipia boda 1,000 piga 0675 065906
RE: Kama uko Mwamza comment nikupe mchongo  

By Anonymous, 3 weeks ago

  Niko Magu
RE: Kama uko Mwamza comment nikupe mchongo  

By Anonymous, 3 weeks ago

  Niko buhongwa
Kama uko Mwamza comment nikupe mchongo  

By Anonymous, 3 weeks ago

  Niambie uko Mwanza sehemu gani.
whee balance na machine ya kuziba pacha vinahitajika  

By Anonymous, 3 weeks ago

  Kwawale mlioko mjini naomba bei ya hizo vitu hapo juu.
Baiskeli ya umeme bei gani?  

By Anonymous, 3 weeks ago

  Nahitaji baiskeli ya kuchaji mpya bei gani?
RE: Kama unamiliki Gari usipe bila kusikiliza hii video  

By Anonymous, 4 weeks ago

  Kuna muda nakaa najiuliza maswali bila majibu labuda nisaidie mawazo,hivi wauzaji wa engine za used andio wataengezaji wa oil au nini?
Kama unamiliki Gari usipe bila kusikiliza hii video  

By Anonymous, 4 weeks ago

  Attachment : _storage_emulated_0_Android_data_com.fawazapp.blackhole_files_DCIM_blackhole_49PJT02LWU.mp4
RE: Mafundi nisaidie hapa shida nini?  

By Anonymous, 4 weeks ago

  Oil hakuna chef
Mafundi nisaidie hapa shida nini?  

By Karanga Sadiki, 4 weeks ago

  Attachment : _storage_emulated_0_Android_data_com.fawazapp.blackhole_files_DCIM_blackhole_M2SXYSTRIG.mp4
Pikipiki gani mzuri kwajili bodaboda  

By Anonymous, 4 weeks ago

  naomba ushauri kama unauzoefu please
RE: Nahitaji kuanza biashara ya kuuza Flash Disks na Memory Cards  

By Anonymous, 4 weeks ago

  Nisaidie hata buku tayari nilisha kutafutia mzigo kumbe umepata.
RE: Nahitaji kuanza biashara ya kuuza Flash Disks na Memory Cards  

By Neema, 4 weeks ago

  Nimepata mzigo Asante.
RE: Nahitaji kuanza biashara ya kuuza Flash Disks na Memory Cards  

By Anonymous, 4 weeks ago

  Vipi umepata?
RE: Nahitaji kuanza biashara ya kuuza Flash Disks na Memory Cards  

By Anonymous, 4 weeks ago

  Habari boss
RE: Natafuta tandiboy mwenye kujua ugundi  

By Anonymous, 4 weeks ago

  Sijaelewa
RE: Natafuta tandiboy mwenye kujua ugundi  

By Anonymous, 4 weeks ago

  ungundi ni nini
Tunahitaji vija wawili Gereji kwajili ya kujinfunza ufundi kwa vitendo  

By Anonymous, 4 weeks ago

  Kama unakijana wako hapo nyumbani utataka ajifunze umachica coment hapa chini tuko keko dar
RE: Nissan 16Hp wheel new  

By Anonymous, 4 weeks ago

  Hii inangonga sana
Nissan 16Hp wheel new  

By Anonymous, 4 weeks ago

  Attachment : DB531E6D-21B6-48F0-B72E-53AB7CF1EBDF.jpeg Hii usababisha tatizo gani bada ya kuisha muda?
Nauza kila kitu kwenye hii Gari  

By Anonymous, 4 weeks ago

 
Hii ni leo  

By Anonymous, 4 weeks ago

 
RE: Fundi mzuri wa magenerator anahitajika Mwanza  

By Anonymous, 4 weeks ago

  Niko shinyana kahama.
RE: Hivi kwanini Engine za 2L na 3L uvunja crankshaft mafundi ?  

By Anonymous, 4 weeks ago

  Shaft siongumu walizikosea.
RE: Hivi kwanini Engine za 2L na 3L uvunja crankshaft mafundi ?  

By Steven Mlawa, 4 weeks ago

  Ipo standard boss
RE: Hivi kwanini Engine za 2L na 3L uvunja crankshaft mafundi ?  

By Anonymous, 4 weeks ago

  Hii nayo.
RE: Hivi kwanini Engine za 2L na 3L uvunja crankshaft mafundi ?  

By Anonymous, 4 weeks ago

  unahitaji shaft mkuu size 25 ipo ya 3L nauza 300k.Uko wapi boss tufanye biashara?
RE: Hivi kwanini Engine za 2L na 3L uvunja crankshaft mafundi ?  

By Anonymous, 4 weeks ago

  Tatizo ni oil boss,Engine ikosa oil lazima lazima uvunje mpini.
Hivi kwanini Engine za 2L na 3L uvunja crankshaft mafundi ?  

By Karanga Sadiki, 4 weeks ago

  Attachment : _storage_emulated_0_Android_data_com.fawazapp.blackhole_files_DCIM_blackhole_JAGWCDZIOU.mp4
Fundi carver za viti vya magari yukopo?  

By Anonymous, 4 weeks ago

 
Fundi mzuri wa magenerator anahitajika Mwanza  

By Anonymous, 4 weeks ago

  Natafuta fundi mzuri wa Magenerator Mkoa wa mwanza KVA 100 Lilo mhodini Kama wapo jitokeze niwaukize maswali mawili matatu kabla ya kuwapa kazi.