| Posts with their shortened content |
|
RE: Nauza kiwanja maeno ya kibamba kwa Mangi
By Anonymous, 3 weeks ago
|
| |
Kiwanja kinaukubwa kiasi gani? |
|
RE: Nauza kiwanja maeno ya kibamba kwa Mangi
By Anonymous, 3 weeks ago
|
| |
Ungeweka hata picha mwanetu. |
|
RE: Nauza kiwanja maeno ya kibamba kwa Mangi
By Anonymous, 3 weeks ago
|
| |
Kinaukubwa gani unauza bei gani? |
|
Kama unahitaji spare za Nissan Civilian na Toyota Coaster niambia spare gani unahitaji.
By Anonymous, 3 weeks ago
|
| |
|
|
Nauza kiwanja maeno ya kibamba kwa Mangi
By Anonymous, 3 weeks ago
|
| |
Eneo ni zuri sana kwa makazi
Uwekezaji
Umeme upo
Maji yapo
Kufika unalipia boda 1,000
piga 0675 065906 |
|
RE: Kama uko Mwamza comment nikupe mchongo
By Anonymous, 3 weeks ago
|
| |
Niko Magu |
|
RE: Kama uko Mwamza comment nikupe mchongo
By Anonymous, 3 weeks ago
|
| |
Niko buhongwa |
|
Kama uko Mwamza comment nikupe mchongo
By Anonymous, 3 weeks ago
|
| |
Niambie uko Mwanza sehemu gani. |
|
whee balance na machine ya kuziba pacha vinahitajika
By Anonymous, 3 weeks ago
|
| |
Kwawale mlioko mjini naomba bei ya hizo vitu hapo juu. |
|
Baiskeli ya umeme bei gani?
By Anonymous, 3 weeks ago
|
| |
Nahitaji baiskeli ya kuchaji mpya bei gani? |
|
RE: Kama unamiliki Gari usipe bila kusikiliza hii video
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
Kuna muda nakaa najiuliza maswali bila majibu labuda nisaidie mawazo,hivi wauzaji wa engine za used andio wataengezaji wa oil au nini? |
|
Kama unamiliki Gari usipe bila kusikiliza hii video
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
Attachment : _storage_emulated_0_Android_data_com.fawazapp.blackhole_files_DCIM_blackhole_49PJT02LWU.mp4 |
|
RE: Mafundi nisaidie hapa shida nini?
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
Oil hakuna chef |
|
Mafundi nisaidie hapa shida nini?
By Karanga Sadiki, 4 weeks ago
|
| |
Attachment : _storage_emulated_0_Android_data_com.fawazapp.blackhole_files_DCIM_blackhole_M2SXYSTRIG.mp4 |
|
Pikipiki gani mzuri kwajili bodaboda
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
naomba ushauri kama unauzoefu please |
|
RE: Nahitaji kuanza biashara ya kuuza Flash Disks na Memory Cards
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
Nisaidie hata buku tayari nilisha kutafutia mzigo kumbe umepata. |
|
RE: Nahitaji kuanza biashara ya kuuza Flash Disks na Memory Cards
By Neema, 4 weeks ago
|
| |
Nimepata mzigo Asante. |
|
RE: Nahitaji kuanza biashara ya kuuza Flash Disks na Memory Cards
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
Vipi umepata? |
|
RE: Nahitaji kuanza biashara ya kuuza Flash Disks na Memory Cards
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
Habari boss |
|
RE: Natafuta tandiboy mwenye kujua ugundi
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
Sijaelewa |
|
RE: Natafuta tandiboy mwenye kujua ugundi
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
ungundi ni nini |
|
Tunahitaji vija wawili Gereji kwajili ya kujinfunza ufundi kwa vitendo
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
Kama unakijana wako hapo nyumbani utataka ajifunze umachica coment hapa chini tuko keko dar |
|
RE: Nissan 16Hp wheel new
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
Hii inangonga sana |
|
Nissan 16Hp wheel new
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
Attachment : DB531E6D-21B6-48F0-B72E-53AB7CF1EBDF.jpeg
Hii usababisha tatizo gani bada ya kuisha muda? |
|
Nauza kila kitu kwenye hii Gari
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
|
|
Hii ni leo
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
|
|
RE: Fundi mzuri wa magenerator anahitajika Mwanza
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
Niko shinyana kahama. |
|
RE: Hivi kwanini Engine za 2L na 3L uvunja crankshaft mafundi ?
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
Shaft siongumu walizikosea. |
|
RE: Hivi kwanini Engine za 2L na 3L uvunja crankshaft mafundi ?
By Steven Mlawa, 4 weeks ago
|
| |
Ipo standard boss |
|
RE: Hivi kwanini Engine za 2L na 3L uvunja crankshaft mafundi ?
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
Hii nayo. |
|
RE: Hivi kwanini Engine za 2L na 3L uvunja crankshaft mafundi ?
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
unahitaji shaft mkuu size 25 ipo ya 3L nauza 300k.Uko wapi boss tufanye biashara? |
|
RE: Hivi kwanini Engine za 2L na 3L uvunja crankshaft mafundi ?
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
Tatizo ni oil boss,Engine ikosa oil lazima lazima uvunje mpini. |
|
Hivi kwanini Engine za 2L na 3L uvunja crankshaft mafundi ?
By Karanga Sadiki, 4 weeks ago
|
| |
Attachment : _storage_emulated_0_Android_data_com.fawazapp.blackhole_files_DCIM_blackhole_JAGWCDZIOU.mp4 |
|
Fundi carver za viti vya magari yukopo?
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
|
|
Fundi mzuri wa magenerator anahitajika Mwanza
By Anonymous, 4 weeks ago
|
| |
Natafuta fundi mzuri wa Magenerator
Mkoa wa mwanza
KVA 100
Lilo mhodini
Kama wapo jitokeze niwaukize maswali mawili matatu kabla ya kuwapa kazi. |