Notifications
Clear all

New SA Ford Everest 3.0d V6

(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter   [#378]
Natafuta
Ford Everest 3.0d V6  AWD Auto kutoka South Africa.
 


   
ReplyQuote
GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 

130ml bei ya manunuzu.



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

@gp-logistics unaweza kunitumia picha video more details?



   
ReplyQuote
GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 

Posted by: @zuhura

@gp-logistics unaweza kunitumia picha video more details?

Inabidi ulipie kifurushi cha unlimited nitakupa taafira zote kuhusu hili Gari? 

 



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

@gp-logistics Nalipaje hicho kifurushi nikishalipa mta refund au ita deduct kwenye price au ikoje?



   
ReplyQuote

GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 

@zuhura Hii ni non refundable ni membership ,kwa maelezo zaidi wasilina na @admin



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

sawa



   
ReplyQuote
(@Anonymous 1)
Joined: 2 years ago
Posts: 135
 

Kama uko Tayari kulipia bonyeza hapa.



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Tayari nimelipia



   
ReplyQuote
GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 
image
image
image
image
image
  • Mileage 000 km
  • Drive Type4X4
  • Transmission Automatic
  • Fuel Diesel
  • Consumption 8.5 l/100km
  • Engine Cap 2993 cc
  • Registration Year: 2023
  • No of Seats: 7
  • No of Doors: 5
  • Body Type: Sports Utility Vehicle (SUV)
  • Variant:3.0d V6 Platinum AWD Auto
  • Fuel Tank Capacity:77 l
  • Cylinder Layout:V6
  • Kilowatts:184 kW
  • Drive: FR
  • Gears:10
  • Spare Key:Yes
  • Maintenance plan: 2030/02/17
  • Warranty:2030/01/17
  • VEHICLE FEATURES

  • Car Play or Android Auto
  • Reverse camera
  • Auto stop-start
  • Kuna Rangi nyeusi na Orange unapenda rangi gani?

Hii ni bei ya manunuzi 130ml hii bei ya manunu,kuna gharama zingine baada ya manunuzi.

 



   
ReplyQuote

zoom

(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Rangi nyeusi napenda pia ukipata video itakuwa vizuri zaidi,pia ghrama zote nimuhi sana.



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Mambo ya ushuru pia nikipata hata makisio yake.



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Pamoja na njia ya kulisafirisha kama ni barabara au baharini.



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Nimeona kama pic up staki pic up nanataka Gari lenye bodo ya kawaida.



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Posted by: @zuhura

Rangi nyeusi napenda pia ukipata video itakuwa vizuri zaidi,pia ghrama zote nimuhi sana.

Kuna option unaweza kulipia ushuru baada ya Gari kufika Boda au kutumia bond Gari likasafirishwa hadi  Dar kisha ukalipia ushuru baada ya kufika Dar. 

 



   
ReplyQuote

(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Posted by: @zuhura

Nimeona kama pic up staki pic up nanataka Gari lenye bodo ya kawaida.

Body Type: Sports Utility Vehicle (SUV)

 



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Posted by: @zuhura

Pamoja na njia ya kulisafirisha kama ni barabara au baharini.

Barabara ni rahisi kuliko njia ya baharini.

 



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Posted by: @zuhura

Rangi nyeusi napenda pia ukipata video itakuwa vizuri zaidi,pia ghrama zote nimuhi sana.

Sawa nikutumiamia.

 



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Naomba ujaze hii form kwenye sehemu ya namba ya simu weka namba ya whatspp kuna baadhi ya vitu nitakutumia kwanjia ya simu.



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Posted by: @zuhura

Naomba ujaze hii form kwenye sehemu ya namba ya simu weka namba ya whatspp kuna baadhi ya vitu nitakutumia kwanjia ya simu.

Form ikowapi?

 



   
ReplyQuote

like

GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 

@zuhura  bonyeza kwenye neno form itakupeleka kwenye from Jaza Kisha submit.



   
Zuhura reacted
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Tayari



   
ReplyQuote
GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 

Hii video ya pili Rangi nyeusi.



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Sawa.



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Naomba ingia whatspp 



   
ReplyQuote

GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 
IMG 20230903 WA0016
IMG 20230903 WA0015


   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Hizo documents kuziandaa  zinachukua muda gani?



   
ReplyQuote
GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 

Siku mbili tu.



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

What is going on,GP Logistics.



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Posted by: @zuhura

What is going on,GP Logistics.

Watu wako Botswana wameondoka saa tisa usiku huu ujumbe nikweli?.

 



   
ReplyQuote

zoom

(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Jiandae kuwapokea boda. nimeta ujumbe huu kwanjia ya whatspp 



   
ReplyQuote
GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 

Posted by: @zuhura

Jiandae kuwapokea boda. nimeta ujumbe huu kwanjia ya whatspp 

Nikweli nimekutumia mimi kesho watakuwa Zambia.

 



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Sawa safari njema.



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Habar za asubihi 



   
ReplyQuote
Kilimanjaro
(@kilimanjaro)
Service Provider
Joined: 2 years ago
Posts: 13
 

update zikoje.



   
ReplyQuote

Kilimanjaro
(@kilimanjaro)
Service Provider
Joined: 2 years ago
Posts: 13
 

nimekuwa interested wakuu na Ford South ni nanafuu sana eeh?



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Watakuwa wamefika wapi?



   
ReplyQuote
GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 

Habari mzuri,wako Zambia tayari  boda ya Kazungula hadi jana saa nne.



   
ReplyQuote
GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 

Kesho mapema watakuwa  boda Tunduma.



   
ReplyQuote
GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 

Tunduma 



   
ReplyQuote

like

GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 
IMG 20230903 WA0013


   
ReplyQuote
(@sunday)
1K Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 8
 

Discavery 4 bei gani.



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Safi sana mko smart sana.



   
ReplyQuote
Kilimanjaro
(@kilimanjaro)
Service Provider
Joined: 2 years ago
Posts: 13
 

Nataka Prado ya mwaka huu. naipataje?



   
ReplyQuote
GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 

Posted by: @kilimanjaro

Nataka Prado ya mwaka huu. naipataje?

Fungua thread mpya utape bei.

 



   
ReplyQuote

Dura
 Dura
(@dura)
10K Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 21
 

Mnatumia bodo zipi kupitisha Magari?



   
ReplyQuote
GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 
3E867423 3215 4263 855C C6B812DBF43A

Tunduma 



   
ReplyQuote
GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 

Kasumulu 



   
ReplyQuote
(@zuhura)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 28
Topic starter  

Habari nimetafuta menu ya hili Gari sijaiona nimepekua kila sehemu mnaweza kunitumia please.



   
ReplyQuote
GP Logistics
(@gp-logistics)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 110
 

Posted by: @zuhura

Habari nimetafuta menu ya hili Gari sijaiona nimepekua kila sehemu mnaweza kunitumia please.

Please Double check ziko mbili nika ya vitu ambavyo niliona kwa macho yangu i hope zipo zote. 

 



   
ReplyQuote

zoom

Leave a reply

Author Name

Author Email

Title *

My Media   or drag and drop it here. Max file size 1GB
Preview 0 Revisions Saved