two

Kama bado ujajisaji...
 
Notifications
Clear all

[Sticky] Kama bado ujajisajili kwenye hii app jisajili upate points .

Moderator
(@moderator)
Moderator
Joined: 3 years ago
Posts: 73
Topic starter   [#1481]

1.Jinsi ya kujisajili.

  • Ingia kwenye Registration Form au bonyeza hapa.
  • Weka user name au jina la Biashara yako.
  • Weka email yako,hakikisha email ujaikosema.
  • Kubali terms na Rules za palatiform kwakuweka tik kwenye box 
  • Kisha Tuma.

2.Ukipata ujumbe wa usajiliwako umegoma kwa rangi nyekundukudu.

  • Rudia tuma zaidi ya malamoja itakubali.
  • Ikikubali angaliachini kwenye Our newest member utaliona jina lako.
  • Usajili utakuwa umekamilika.

 

3.Hatu inayofuta baada ya Usajili kukamilika. 

  • Ingia kwenye email yako kwenye inbox utakuta link imetumwa  kwajili ya kutengeza password yako.
  • Ukikosa kwenye inbox ingia kwenye jank mail utaikuta.
  • Fungua email kisha bonyeza link kutengeza password.
  • Ukimaliza kutengeza password hamisha hiyo email kutoka kwenye jank kwenda kwenye inbox  kwajili ya email zitakazofuta.
  • Ukiacha email ya kwanza kwenye jank mails email zetu zote zitaendelea kuingia kwenye jank mails.
  • Baada ya kutengeza password usajili wako utakuwa umekamilika.

4.Kama ulijisajili  jina lako au  email yako vipo kwenye app kwabahati mbaya ujatengeneza password fanya hivi.

  • Ingia kwenye Registration Form kwenye Lost your password au bonyeza hapa 
  • Weka email yako au user name 
  • Kisha tuma.
  • Utapokea link kwenye email yako kwajili ya kutengeza password mpya.
  • Baada ya kutengeza Password mpaya ingia kwenye login,weka user name na password yako.
  • Baada ya usajili wako kukamilika  utapa points zako 1,000 ambazo unaweza kuzitoa kama pesa.
  • Maekezo jinsi ya kupata points bonyeza hapa 

5.Kama unahita msaa zaidi kuhusu kuji sajili 

  • wasilina nasi kupitia info@digxam.site
  • Au wahtspp +255 769 443 448 


   
ReplyQuote
Jonson John
(@jonson-john)
100M Trade Bond
Joined: 3 years ago
Posts: 314
 

Asante kwa taarifa.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿


   
ReplyQuote
Africa Music
(@africa-music)
Honorable Member
Joined: 2 years ago
Posts: 7
 

Noted.



   
ReplyQuote

two

Karumuna
(@karumuna)
Honorable Member
Joined: 2 years ago
Posts: 6
 

Kuna siku nilisahau password yangu ikabidi nifungue accont mpya duh kumbe nilitumia njia ndefu sana.



   
ReplyQuote
Moderator
(@moderator)
Moderator
Joined: 3 years ago
Posts: 73
Topic starter  

@karumuna

Kama ulijisajili  jina lako au  email yako vipo kwenye app kwabahati mbaya ujatengeneza password fanya hivi.

  • Ingia kwenye Registration Form kwenye Lost your password au bonyeza hapa 


   
ReplyQuote
Karumuna
(@karumuna)
Honorable Member
Joined: 2 years ago
Posts: 6
 

Nimekuta email nyingi kwenye spam mails za notification ambazo nime subscribe hapa lakini nimeshindwa kuzirudisha kwenye inbox nifanyeje.



   
ReplyQuote

kila