Tunachanganya na ku...
 
Notifications
Clear all

Car Repair Tunachanganya na kuuza Rangi za Magari

Rangi za Magari
(@rangi-za-magari)
10K Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 13
Topic starter   [#120]

Tunachanganya Rangi za Magari na kuuza Rangi za Magari.

 

kama wewe ni fundi body za Magari tuambie unataka nini vifaa vyote vipi tuma code ya Rangi tuambie kiasi sehemu ulipo hata mkoani nje ya nchi tunatuma.

 

B93E5084 0C45 4A90 92F2 A45A11A49165
322EE34D 81DC 4C6A A1CB 378B72032762
6FE15521 D109 4A26 B14F 6B2FEDD9C2E2
A5E5D4E3 F37F 435D B9B5 D10B7D2DAEE1


   
ReplyQuote
(@mtanga)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 6
 

Habari,niko Tanga naplan kuanzisha huduma kama yako vipi nitafute mtaji wa bei gani kwakuanzia?



   
ReplyQuote
Rangi za Magari
(@rangi-za-magari)
10K Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 13
Topic starter  

@mtanga Anzisha tuna rangi zakutosha ukiwa tayari nitumia list ya vitu vyote unahitaji ikiwa pamoja na Rangi tools nitajupa bei ya ushindani kwenye soko.



   
ReplyQuote
King
 King
(@king)
Honorable Member
Joined: 2 years ago
Posts: 3
 

Nahita Rangi namiliki Geriji ya kupiga rangi ningependa kujua bei za vifaa vyote ulivyo navya yaani price list nitumie.



   
ReplyQuote
Rangi za Magari
(@rangi-za-magari)
10K Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 13
Topic starter  

@king Tuna vifaa vingi sana.Vizuri ungenitajia nikakupa bei



   
ReplyQuote

zoom

(@mtanga)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 6
 

Nitakumia List ya vifaa vyote na hitaji nipate bei.



   
ReplyQuote
Rangi za Magari
(@rangi-za-magari)
10K Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 13
Topic starter  

Karibuni sana!



   
ReplyQuote