Natafuta Engine ya ...
 
Notifications
Clear all

Natafuta Engine ya Toyota Harrier A2Z

Shalom
(@shalom)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 21
Topic starter   [#856]

Habari ndugu zangu watu Mungu,

Nahitahi vifaa used kutoka Japan moja kwa moja na sio ilala au madukani.Code ni CBA-ACU30W

Kama uko Japan naomba tuwasiliane kupitia jukwaa hili,nahitahi kwajili ya Gari langu.

 

1.Engine ya Toyota Harrier A2Z full ikiwa na control box yake.

2.Radiator system ikiwa full na fan zake na kibuyu cha kutunzia maji.

bajati yangu ni 2ml.Sio maneno matupu Bali Balance imo kwenye wallet  mzigo ukifika nalipa 

 

 

 

 



   
ReplyQuote
Jonson John
(@jonson-john)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 280
 

@shalom Utapata kwa 3ml kilakitu hadi mkononi.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿


   
ReplyQuote
(@Anonymous)
Joined: 1 second ago
Posts: 0
 

Ipo naiuza 2ml niko Mbeya town 



   
ReplyQuote
Shalom
(@shalom)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 21
Topic starter  

@jonson-john Iko juu sana bei.



   
ReplyQuote
Shalom
(@shalom)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 21
Topic starter  

Ya Mbeya hapana.



   
ReplyQuote

like

(@Anonymous)
Joined: 1 second ago
Posts: 0
 

Mbona ilala zipo za kutosha nenda kachague.



   
ReplyQuote
Jonson John
(@jonson-john)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 280
 
8BD49100 0821 4B45 80F8 23F841D6094A

Hii iko full na vifaa vyake vyote pamoja na control box yake bado bei yake ya kawaida sana.

 

kama uko serious njoo private tumalize hii biashara 


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿


   
ReplyQuote
Shalom
(@shalom)
1k Pay Cash
Joined: 2 years ago
Posts: 21
Topic starter  

@jonson-john Itachukua muda gani? 

naweza kulipia baada ya kuiona?



   
ReplyQuote
Jonson John
(@jonson-john)
100M Trade Bond
Joined: 2 years ago
Posts: 280
 

@shalom Week 3 hadi mwezi moja,unalipia kabisa pesa zote unangojea mzigo wako.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿


   
ReplyQuote