KAMA UKO KARIAKOO N...
 
Notifications
Clear all

Kariakoo Online KAMA UKO KARIAKOO NAOMBA TUKUTANE KWENYE COMMENTS

13 Posts
4 Users
4 Reactions
696 Views
Jenifa
(@jenifa)
Posts: 21
1k Pay Cash
Topic starter
 

Habari 

 

Niko Mwanza nashida na rai waliko hapo kkoo kuna baadhi ya vitu nahitaji kwa bei ya jumla kama uko kariakoo namba tuwasiliane kuna vitu nahitaji kutoka hapo.


 
Posted : March 1, 2024 10:29 am
(@dalali-mziefu-kariakoo)
Posts: 34
1K Trade Bond
 

Nikusaidie nini kioo bosi wangu.


 
Posted : March 1, 2024 1:29 pm
Jenifa
(@jenifa)
Posts: 21
1k Pay Cash
Topic starter
 

Naomba bei ya viatu vya eboebo size zote kwa bei ya jumla nataka mzigo mkubwa kuanzia za watoto hadi watu wazima.


 
Posted : March 1, 2024 1:37 pm
(@dalali-mziefu-kariakoo)
Posts: 34
1K Trade Bond
 

Naomba namba Yako yenye whatspp nikutumie bei na picha.


 
Posted : March 1, 2024 1:39 pm
Jenifa
(@jenifa)
Posts: 21
1k Pay Cash
Topic starter
 

 

Namba yangu hii ××××××××××


 
Posted : March 1, 2024 1:44 pm

Jenifa
(@jenifa)
Posts: 21
1k Pay Cash
Topic starter
 

××××××××××


 
Posted : March 1, 2024 1:46 pm
(@dalali-mziefu-kariakoo)
Posts: 34
1K Trade Bond
 

Hivi ndio nini dada unatuma kweli uko serious?


 
Posted : March 1, 2024 1:49 pm
Jenifa
(@jenifa)
Posts: 21
1k Pay Cash
Topic starter
 

Kutakua na shida nimetuma malambili zinatokea hivyo.


 
Posted : March 1, 2024 1:54 pm
(@dalali-mziefu-kariakoo)
Posts: 34
1K Trade Bond
 

Andika kwa maneno nitumie.


 
Posted : March 1, 2024 2:07 pm
Moderator
(@moderator)
Posts: 129
Moderator
 

Hapa biashara haifanyiki hivi mnavyotaka kufanya ndugu zangu mkiendelea  mtafungiwa account zenu.

 

Utaratibu  uko hivi mawasiliano yote yanafanyika hapa kwenye thread kama nipicha kila kitu kitumwe hapa makubaliano yote yafanyike hapa.

 

Malipo mnunuzu analipa pesa kwenye account ya Digxam chini ya admin si vunginevyo Kisha muuzaji atawasiliana na admin ili kukabidhiana pesa nna mzigo,ukiendalea kumshawishi mwenzako akutumie namba   kinyuma kanuni na  utaratibu utafungiwa accout  wote au utapigwa ban wote.


 
Posted : March 1, 2024 3:00 pm

corretion

(@dalali-mziefu-kariakoo)
Posts: 34
1K Trade Bond
 

@moderator mbona utaratibu mgumu sana huu, bora tukafanyia bishara zetu kwenye Facebook na Twitter 😑 hapa pagumu sana kupata maokoto.


 
Posted : March 1, 2024 3:20 pm
Moderator
(@moderator)
Posts: 129
Moderator
 

Pole sana,huu nfumo ni mzuri tuuzoee.


 
Posted : March 1, 2024 3:29 pm
Jemima
(@jemima)
Posts: 29
1k Pay Cash
 

Unataka nini kakoo?


 
Posted : April 1, 2024 7:21 pm