Kama kuna mtu yuko Arusha Mjini naomba ni pm nikupe maelekezo.
@ray-kabugumila Niko hapa kwa unashidigani?
@arusha-icon Kuna sehemu nitakuelezeza unichulie mzigo wangu unitumie kwenye basi,vipi unaweza kunisaidia ndugu yangu?
@ray-kabugumila Hapana.I am busy