Notifications
Clear all

Fish Market TUNAUZA Dagaa wa Ziwa Victory kwa bei ya Jumla

6 Posts
3 Users
1 Reactions
388 Views
(@sarafina)
Posts: 7
Deposit 200,000
Topic starter
 

Nauza Dagaa wakavu na wabichi kutoka Ziwa victory kuanzia kg 100

 

natuma mikoa yote hadi watu wa DRC Lumbushi kite natuma tuwasiliane.

 
Posted : February 28, 2024 1:08 pm
(@sarafina)
Posts: 7
Deposit 200,000
Topic starter
 

Hata wabichi wapo

 
Posted : February 29, 2024 9:46 am
Fanny
(@fanny)
Posts: 11
Deposit 100,000
 

Nashida na Dagaa wasio na mchanga tunafanyaje niko Lubumbashi.

 
Posted : February 29, 2024 9:51 am
(@sarafina)
Posts: 7
Deposit 200,000
Topic starter
 

Dagaa wapo wengi sana tunaanzia kg 100 ,Lubumbashi ni wapi nikutumie bei ya manunuzi na usafiri.

 
Posted : February 29, 2024 10:08 am
(@sarafina)
Posts: 7
Deposit 200,000
Topic starter
 
BIASHARA YA CHAKULA HAIJAWAHI KUTUPA MTU AKIVUMILIA.
Habari wanajamii, narudi tena. Bei ya dagaa imepungua maana giza limeanza na uvuvi kuendelea kama ilivyo kawaida.

Bei zilizopo muda huu. Japo huwa mabadiliko yapo kutokana na uvuvi ukiwa mzuri au mbaya.

Dagaa wa nyasi (wasio na mchanga)
Gunia yenye debe 10 kilo 40 (Tsh180000/=-tsh260000/=.)
Hiyo bei ni dagaa wenye ubora (good quality).

Dagaa wachanga.
Gunia yenye debe 10--kilo 43--(Tsh 130000/= Tsh200000/=).

Bei zinabadilika kutokana na hali ya uvuvi inaweza kupungua zaidi ya hiyo bei au ikaongezeka vizuri kuwasiliana kwa simu ××××××××××.

Jinsi ya mzigo utakufikia. Bus (gari ya abiria), Lorry(gari ya mzigo)

Gari ya abiria (bus) mzigo unakufikia haraka ila bei zao ni za juu kidogo. Gunia moja (Tsh20000/=) mpaka mkoani.

Gari ya mzigo (lorry) mzigo inachukua muda kidogo lakini ndani ya siku 2 mzigo unakuwa umekufikia bei yake ni ndogo ukilinganisha na bus.(tsh10000/=-tsh15000/=).

Location: Napatikana Mwanza-Kirumba-Mwaloni-Soko Kuu la dagaa na samaki.

Mawasiliano: ××××××××××

Karibu.

Endapo unataka kujuwa zaidi uliza kwenye comments au piga simu.

 
Posted : March 3, 2024 6:47 am
Jemima
(@jemima)
Posts: 29
Deposit 200,000
 

Bila picha ni umbea.

 
Posted : April 1, 2024 7:23 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.


Digxam

FREE
VIEW