Kila muuzaji anapas...
 
Notifications
Clear all

Digxam [Sticky] Kila muuzaji anapaswa kwa na Trade Bond kwajili ya kupokea miamala ya pesa kutoka kwa wanunuzi

5 Posts
4 Users
3 Reactions
259 Views
Admin
(@admin)
Posts: 15
Admin
Topic starter
 

#JINSI YA KUJISAJILI KWENYE HII APP

  • Ingia kwenye registration form.
  • Weka jina unalopendelea kutumia.
  • Weka email yako.
  • Submit au tuma.
  • Utapokea ujumbe wa tumekutumia ujumbe kwenye email yako.
  • Ingia kwenye email yako,angalia email yenye jina Digxam Tanzania
  • Ukikosa kwenye inbox angalia kwenye Spam mails 
  • Gusa sehemu ambayo imeandikwa not spam ili notifications zako ziingine kwenye inbox.
  • Ukishindwa unaweza kuwasilina na Admin kwenye live contact.  

#TRADE BOND NINI?

  • TRADE BOND ni kiasi cha pesa ambacho mfanyabiashara au mtoa huduma anapaswa  kuwa hicho kiasi chochte kwenye account yake  kabla ya kupokea pesa kutoka kwa mnunuzi.Ukiwa na Trade Bond ya 100k utapokea kiasi  kulingana na Trade Bond yako.
  • Unawetu kutumia pia Trade Bond ya kutembelewa na watoa huduma wetu na kuadiliwa Bond Trade yako,sio lazima kuwa na Bond Trade ya Pesa.
  • Yale mambo ya office yako ikowapi,sijui tukutane hakuna tumia TRADE BOND ni kila kitu.

#KUNA AINA MBILI YA BOND TRADE.

  • Unaweza kutembelewa na watoa huduma wetu wakukupa Bond Trade kwajili ya kufanya biashara na kupokea pesa mtandaoni.
  • Chaguo la kwanza likishindikana unatakiwa kutoa pesa kwajili ya kupata  Bond Trade ili uweze kupokea miamala mtandaoni baada ya kuuza bidhaa zako.
  • Ukitaka kuchukua pesa yako ya Bond Trade pindi ukiamua unaweza kuichukua ndani ya masaa 24 bila kipingamizi.

#PAY CASH NINI?

  • PAY CASH nikiasi cha pesa ambocho kila mnunuzi  anapswa kuwanacho kwenye account yake baada ya makubaliano na muuzaji.

#NITAJUAJE KAMA MUUZAJI ANA TRADE BOND?

  • Ukiangalia kwenye profile ya kila mtumiaji kuna taarifa utaweza kujua kama mtumiaji na status gani kati ya hizi zifutazo.Mfano.
  • 100K Trade Bond :Usilipe pesa zaidi ya 100,000 Tsh Shillings
  • 100K Pay Cash:Mnunuzi ana salio kwenye  e-wallet yake yenye kiasi cha shillings 100,000.
  • Honorable Member :Mnunuzi hana salio.
  • Honorable Member :Muuzaji hana Trade Bond.

#TRADE BOND CANCELLATION NI NINI?

  • Mnunuzi anatakiwa kumtumia taarifa admin ya kwamba kilakitu kimeenda sawa ili Trade Bond ya Muuzaji iweze kurudi kwenye nafasi yake.
  • Kwanfano muuzaji akiwa na Trade Bond ya 10,000 mnunuzi akanunua bidhaa zenye dhamani ya 10,000 kabla ya mnunuzi kumwambia admin kwamba kapokea mzigo wake muuzaji atakuwa na zero balance TRADE BOND hivyo itakuwa ngumu kufanya biashara kabla ya cancellation ya bond yake.
  • Ukiata kurudisha Bond Tared yako au kama account yako ikuwa na Bond Trade kuitaka kurudisha upya kuna chaji utachajiwa.
  • Mnunuzi ukichelewa kufanya cancellation ya muuzaji utakuwa umekiuka kanuni zetu za malipo ya huduma hii.

#.WAUZAJI:

  1. Kuweka Tangazo lako la biashara  ni bure, chagua jukwaa.
  2. Weka bidhaa zako unazozitangaza  kisha post.Makubaliano yote yafanyike wazi kupitia kwenye comment section .
  3. Admin ata approve kila posts na comments kwenye platforms zetu zote.
  4. Kwenye Tangazo lako usiweke namba ya simu badalayake  tumia messenger kutuma mawasiliano au  au documents za siri.
  5. Wasilina na admin kwamaelezo zaidi.

#.WANUNUZI:

  1. Kuweka Tangazo lako la hitaji lako ni bure.
  2. Hakikisha unaweka kichwa cha habari cha kitu chochote unachokihitaji kisha tuma  jukwaa usika.
  3. Baada ya kupata bidhaa zako hakikisha muuzaji ana TRADE BOND yenye kiasi kinacholinga na pesa unazotaka kumtumia au zaidi ya hicho kiasi.
  4. Usifanye makubaliano yoyote na muuzaji nje ya  comments section .
  5. Baada ya makubaliona,Weka pesa yako kwenye e-wallet ya Pay Cash.
  6. Fanya malipo ya muuzaji.

#WANUNUZI NA WAUZAJI

  1. Kuna njia mbili za kufanya biashara kwenye Majukwaa yetu yote.
  2. Unaweza kuweka Tangazo lako baada ya kupata mteja mkapeana namba za simu mkakutana mkakutana.
  3. Unaweza kuweka bidhaa zako ukapokea pesa online bila kukutana na mtu.
  4. Ili uweze kuweka namba za simu kwenye Tangazo lako au kwenye Post yako utakiwa kuwa na Trade Bond kama ni muuzaji ya 1k ambayo ni sawa na shilling 1,000.
  5. Kama ni munuzi utapaswa kuwana  Pay Cash ya 1k sawa 1,000. 

 

#.Admin 

  1. Kazi ya admin kusimamia  biashara kati ya muuzaji na mnunuzi   kuakikisha hakuna udanganyifu kabla na baada ya mzigo kutumwa.
  2. Kabla bishara kufanyika Admin utamlipa fee ya huduma hii.

#HUDUMA ZA KULIPIA.

  • Kupini Tangazo lako juu kwa mwezo 
  • Kufanya Verification ya Biashara yako au pata alama ya (SELLER) inategeme sehemu uliopo wasilina na admin.
  • Kuweka Tangazo kwenye Head utalipia kwa mwezi.
  • Kuweka Tangazo lako kwenye Bottom  kwa mwezi.
  • Kuweka Tangazo kwenye Top  kwa mwezi.
  • Kuweka Tangazo lako kwenye foot ni kwa mwezo.
  • Kuweka Tangazo kwenye Category list  kwa mwezi.
  • Kuweka Tangazi kwenye Forum list  kwa mwezi.
  • Kuweka Tangazo lako kwenye Topic List  kwa mwezi.
  • Kuweka Tangazo lako kwenye Post list 

#OFFA.

  • Tunatoa Ofa ya Tangazo moja bure  kwa  members wenye sifa zifutazo.
  1. Amejisajili
  2. Ameweka profile picture(sio lazima uweke picha yako.
  3. Tangazo lolote la biashara kwa muda wa mwezi moja.
  4. Au Kupini Post yako juu bure kwa muda wa mwezi moja.
  5. Kama unataka ofaa hii comment hapa chini kwenye comments section. 
  6. Hii ofa nikuanzia 04/28/2025 hadi 05/29/2025 tengeneza Tangazo au post leta kwa admn akutangazie bure.

#VIGEZO NA MASHART KWA WATUMIAJI WOTE KIZINGATIWA.

  • Kila mwanachama wa platform hii anapaswa kuheshi kanuni na taratibu tulizojiwekea.
  • Sio lazima kujisajili kwajina lako kwasababu mifumo yetu inajitosheleza kulinda watumiaji wote. 
  • Biashara zote zitakazo Tangazwa au kufanyikia kupitia kwenye jukwaa hili,Digxam tunawajibika kuakikisha biashara zinafanyika bila udanganyifu chini ya features za plaform hii pamoja na   admins wetu.
  • Kama wewe ni muuzaji  au mnunuaji  hakikisha unaheshimu kanuni za jukwa hili kuepuka kufungiwa account yako.
  • Gharama zetu ni ndogo sana ukilinganisha na huduma tunazozitoa kidigital ,wote mnakaribishwa.

#JINSI YA KUWEKA BALANCE KWENYE WALLET YAKO PAY CASH AU BOND.

  1. Reg no.402863 Digxam Trades 
  2. Tumia lipa namba ya Tigo 17556125 jina ni Digxam Trades.
  3. Unaweza kutumia account  CRDB bank  015C598771300 Jina ni Digxam Trades 
  4. Pia unaweza kutumia Account ya NMB  Bank ni 23810028976 Jina ni Digxam Trades.
  5. Kumbukumbu namba tumia use name jina ulilolitumia kusajili.
  6. Utalipia gharama za miamala yani Transaction fees.
  7. Pia unaweza kutuma pesa ya manunuzi moja kwamoja kwa sellers wenye trade Bond bila kutupia kwetu.
  8. Ukitaka kutuma pesa kwa sellers hakikisha una Trade Bond sawa au zaidi ya kiasi unachotaka kumtumia.

Tunakaribisha maswali,kama unaswali kuhusu huduma zetu karibu sana.Pia bila kuasahau kushare page zetu na jamaa zako na marafiki pia kwenye mitandao ya kijamii asante sana.


 
Posted : April 23, 2025 6:58 am
(@respicius-kashero)
Posts: 1
Honorable Member
 

Hii pesa ya Trade Bond nikiweka siku  nikiitaka utaratibu ukoje?


 
Posted : October 14, 2025 10:00 pm
Digxam
(@digxam)
Posts: 68
Admin
 

@respicius-kashero Inategemea aina ya Bond Trade, Kuna aina mbili za Bond Trade

  • Unaweza kutembelewa na watoa huduma wetu wakakupa Bond Trade.
  • Unaweza ku deposit kiasi cha pesa ukapata   Bond Trade.
  • Hizi zote mbili zinakubalikakwenye system zetu.
  • Kama umetoa pesa kupata Bond Trade pindi ukitaka pesa zako we will be happy to provide a full refund within 24 days.
  • Baada ya Band Trade kuwa Cancered pia  kwenye account itakuwa zero Bond Trade. 

 
Posted : October 15, 2025 5:21 am
Fundi Simu
(@fundi-simu)
Posts: 17
Honorable Member
 

Kama sina hii Trade Bond siruhusiwi kufanya biashara hapa au inakuwaje?


 
Posted : October 15, 2025 5:29 am
Admin
(@admin)
Posts: 15
Admin
Topic starter
 

@fundi-simu Unaruhusiwa kufanya biashara lengo la kutumia Trade  Bond ni kuondoa undanganyifu kwenye biashara, kwahiyo kama unawateja wako wanakuamini sisi hatuna shida na wewe.

Trade Bond pia sio lazima ku deposit pesa tunaweza tukakutembelea Nyumbani kwako, Dukani kwako au kazini kwako  kisha tuta dhaminisha, tukakupa Trade Bond kulingana na risk tutakazoziona  , Kazi ya Trade  Bondi  ni kulipa pesa ambazo ikitokea ukachukua pesa ya mteja wako kisha ukakimbia nazo au ukafanya kinyuma na makubaliano na mtejako Trade Bond ina caver.


 
Posted : October 15, 2025 6:35 am