Notifications
Clear all

URGENTLY WATENTED Ninahitaji Land Rover Discovery4,V6 2010

10 Posts
6 Users
0 Reactions
80 Views
(@pascal)
Posts: 3
0.000
Topic starter
 

Ninahitaji Land Rover Discovery4,V6 2010

 
Posted : March 1, 2025 7:27 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 135
Seller
 

Habari,

Kwa upande wa Africa Kusini utapata hili Gari,bei zinatofautia kulingana na km ambazo Gari limetumika pamoja  na ubora wa Gari kwaujumla.Nitafutafutia Gari zuri baada ya   majibu ya maswali yangu hapa chini.

Nitakua mchanganua wa gharama za manunuzi usafiri pamoja na ushuru.

  • Unahitaji  Land Rover Discovery4,V6 2010 zero km au used?
  • Kama ni used vipi ungependa km ngapi?
  • Kuna option ya Engine ya Petrol na Diesel vipi ungependa tukutafuti Gari lenye Engine Gani?
  • Pia sio mbaya tukijua bajet yako kabla ya kutafuta Gari.
 
Posted : March 1, 2025 10:55 am
 Sai
(@sai)
Posts: 3
0.000
 

Namba C vipi?

 
Posted : March 1, 2025 2:46 pm
(@Pascal Luhahula)
Posts: 1
 
 
Posted : March 1, 2025 2:52 pm
Sabini
(@sabini)
Posts: 36
0.000
 

Ipo namba C inahita 25ml.Kama uko tayari njoo ukague Gari.

Gari liko Magomeni mapipa.

 
Posted : March 1, 2025 2:52 pm

SHINDA 50K KWAKUWA NA POSTS,LIKES PAMOJA NA VIEWS KWENYE CONTENT ZAKO .

Maelezo Zaidi Bonyeza Hapo Chini.

(@mandela)
Posts: 15
Deposit 200,000
 
B22D2E9E 0CB9 4991 BE59 A3209236EF58

Ipo Discover 3

 
Posted : March 1, 2025 2:52 pm
(@pascal)
Posts: 3
0.000
Topic starter
 

@gp-logistics nahitaji used,kuanzia 200,000km kushuka chini,Engine Diesel budget mpaka Tanzania isizidi 35ml.

 
Posted : March 2, 2025 9:19 pm
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 135
Seller
 

@pascal  Ushuru utulipia mwenyewe baada ya Gari kufika?

 

Vipi kuhusu rangi unataka rangi yoyote?

 
Posted : March 3, 2025 3:42 am
(@pascal)
Posts: 3
0.000
Topic starter
 

@gp-logistics jumla na ushuri kwa 35ml

 
Posted : March 3, 2025 5:23 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 135
Seller
 

@pascal Ngumu sana kwa hii budget boss wangu.

  • Ushuru ni 25 ml.
  • Baada ya kununua Gari,tunalifanyia full checkup kabla ya Safari,ikiwa ni pamoja  na kumwaga oil,kuvalisha Tires mpya,kuangalia mifumo yote ikiwemo ya brecks nk kabla ya Safari.
  • Malipo ya kutengeneza  Documents kwajili ya safari.
  • Mafuta. 
  • Garama za kupita kwenye nchi mbili.
  • gharama zetu.
  • Bajet yako sio chini 50ml,pamoja na usajili kasori insurance.

 

 
Posted : March 3, 2025 6:10 pm

TANGAZA NA KUUZA BIASHARA ZAKO KWA NJIA YA MNADA WA KIDIGITAL .

Kwa 10,000 Unashiriki Minada Kwamuda wa Mwaka Mzima.

Shiriki Mnada Ujipatie Bidhaa Kwa Bei Nafuu Sana.


Digxam

FREE
VIEW