Notifications
Clear all

OFFER KITABU GANI UNAHITAJI NIKUTUMIE

6 Posts
2 Users
1 Reactions
388 Views
Okra
 Okra
(@okra)
Posts: 8
30K Pay Cash
Topic starter
 

Hii ni habari njema kwa wapenzi na wasomi wa vitabu,mimi napatikana Posta Dar Es Salaam  kwenye maduka ya kuuza vitabu vilivyoandikwa na watu mbalimbali Duniani.

Kama wewe ni mpenzi wa vitabu basi naomba uniandikie aina ya vitabu nitumia picha yake hapa chini  na  bei zake  kwenye comments section,nitakujibu  harakasana.

Asante.Hakikisha una subscribe hii thread yangu na kushare kwenye mitanda ya kiamii.

 

Karibuni sana.

20250125 091524

 
Posted : January 25, 2025 6:29 am
Gen Zs
(@gen-zs)
Posts: 10
0.000 Pay Cash
 

@okra Kitabu cha Kabendera  kinapatikana kwa bei gani?


 
Posted : January 25, 2025 7:08 am
Okra
 Okra
(@okra)
Posts: 8
30K Pay Cash
Topic starter
 

@gen-zs Kitabu kipi kinaitwaje?


 
Posted : January 25, 2025 7:15 am
Gen Zs
(@gen-zs)
Posts: 10
0.000 Pay Cash
 

@okra In the name of President.


 
Posted : January 25, 2025 7:20 am
Okra
 Okra
(@okra)
Posts: 8
30K Pay Cash
Topic starter
 

@gen-zs Kaka hicho hatuna.


 
Posted : January 25, 2025 7:21 am
Gen Zs reacted

exp

Gen Zs
(@gen-zs)
Posts: 10
0.000 Pay Cash
 

@okra Sawa ukikipata naomba uni tag 🏷 mkuu nashida nacho sana.


 
Posted : January 25, 2025 7:24 am