Kama kuna mtu mwenye changamoto ya ada kwajili ya kumpeleka mtoto wake shule,kupitia kwenye hii thread utapa kulipiwa ada ya mtoto wako,
Umoja wa wafanya biashara na vijana tunaoishi nje ya Tanzania tumejichanga na kutoa msaada wa kuwalipia ada wanafunzi wanaotoka kwenye familia masikini wenye Ufaulu mzuri.
Â
Nisaidie mkuu nimekwama kodi ya myumba mkuu