Kama kuna mtu mwenye changamoto ya ada kwajili ya kumpeleka mtoto wake shule,kupitia kwenye hii thread utapa kulipiwa ada ya mtoto wako,
Â
Umoja wa wafanya biashara na vijana tunaoishi nje ya Tanzania tumejichanga na kutoa msaada wa kuwalipia ada wanafunzi wanaotoka kwenye familia masikini wenye Ufaulu mzuri.
Â