Notifications
Clear all

RAFIKI. NATAFUTA MCHEPUKO

13 Posts
8 Users
3 Reactions
730 Views
Fundi Simu
(@fundi-simu)
Posts: 17
Honorable Member
Topic starter
 

HABARI ZA KAZI WAREMBO!

Jamani mimi ni kijana mwenye 45 years,nafanya kazi Karikaoo kama fundi Simu ,nachangamoto kidogo kwenye ndoa yangu na mke wangu,kwakifupi na mke na watoto watatu,naishi kimara Suka Dar,nimejitokeza mbele yenu natafuta rafiki wa kike anayeishi  jiji Dar,kama tapatikana Kimara itakuwa vizuri zaidi,umri usizidi 35, karibu sana tuyajenge. unaweza kunitumia privete, msg  zote nitazibu kwa wakati Asante sana.

 

 


 
Posted : December 22, 2024 6:49 pm
Doreen Kagaruki
(@doreen-kagaruki)
Posts: 9
Honorable Member
 

@fundi-simu 🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭


 
Posted : December 22, 2024 7:02 pm
Doreen Kagaruki
(@doreen-kagaruki)
Posts: 9
Honorable Member
 

@fundi-simu Ila nyie wanaume 🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🥱🥱🥱🥱


 
Posted : December 22, 2024 7:03 pm
Grace Ngalawa
(@grace-ngalawa)
Posts: 38
1k Pay Cash
 

@Doreen-Kagaruki mwenye nimecheka hapa sina mbavu.Hawa viumbe acha tu.


 
Posted : December 22, 2024 7:11 pm
Fundi Simu
(@fundi-simu)
Posts: 17
Honorable Member
Topic starter
 

@Doreen-Kagaruki inakuwajje, uko pande zipi tuyajenge? @Grace-Ngalawa Unacheka nini mwenzio niko siriasi tunafanya je?


 
Posted : December 22, 2024 7:29 pm

Hello Kenya 🇰🇪
(@hello-kenya)
Posts: 5
Honorable Member
 

Kumechangamkaaaaaaaaaaaaaaa 🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🏇🏇🏇🏇


 
Posted : December 22, 2024 11:13 pm
Shamsa
(@shamsa)
Posts: 2
Honorable Member
 

@fundi-simu Kwema.Nicheki whatspp jirani tuke mambo sawa 0758 142 584


 
Posted : December 22, 2024 11:17 pm
Fundi Simu
(@fundi-simu)
Posts: 17
Honorable Member
Topic starter
 

Mbona kimya.


 
Posted : December 23, 2024 10:02 am
Mshangazi
(@mshangazi)
Posts: 13
Honorable Member
 

@fundi-simu Piga simu ilizima chaji umeme.


 
Posted : December 23, 2024 11:12 am
Fundi Simu
(@fundi-simu)
Posts: 17
Honorable Member
Topic starter
 
IMG 1991

Kuna msemo unasema mficha uchi azai.Nawashukuru sana wote.


 
Posted : January 4, 2025 5:11 pm
Fundi Simu reacted

Farida
(@farida)
Posts: 15
Honorable Member
 

@fundi-simu Fundi Simu umetisha sana.


 
Posted : January 4, 2025 5:15 pm
Sniper
(@sniper)
Posts: 102
2.M Trade Bond
 

@fundi-simu Kaka shikamoo🙌🏿🙌🏿🙌🏿


 
Posted : January 4, 2025 5:20 pm
Fundi Simu
(@fundi-simu)
Posts: 17
Honorable Member
Topic starter
 

@Sniper niaje vipi umeunzaje mwako 2025 pande hizo?


 
Posted : January 4, 2025 5:22 pm