Notifications
Clear all

NAFASI ZA KAZI. NAHITAJI WATU WAWILI WAKUFANYA NAO KAZI.

1 Posts
1 Users
1 Reactions
64 Views
Doreen Kagaruki
(@doreen-kagaruki)
Posts: 9
0.000
Topic starter
 

HABARI!

Natafuta watu watano wakufanya naoa kazi hapa AFrica Kusini,

 

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu,natafuta wafanyakazi wakufanyanao kazi huku   AFRICA KUSINI KWENYE MJI WA Captow.

 

KAZI

  •  Logistics HUDUMA KWA WATEJA.
  • Kuandaa mizigo ya kuasafirisha kutoka huku kuja huko Tanzania.
  • Kusimamia zoezi zima la upakiajia na ushushaji wa mizgo kwenye Mgari.

SIFA ZA MUOMBAJI.

 

  • Umri kuanzia miaka 18 
  • Lazima muombaji awe na passport ya kitabu.
  • Awe tayari kuasafiri kuja huku South Africa.
  • Kama uko South Africa pia unaweza kuomba Kazi.
  • Kama uko South Africa hakikisha una Passport na unaishi huku kisheria.

MSHAHARA 

  • Kuanzia Rand 3,000 sawa na Tsh 400,000.
  • Ukifanya kazi zaidi ya masaa ya akazi tunalipa overtime. 

MALAZI.

  • Utapewa sehemu ya kulala.
  • Vyombo vyakupikia.

 

Kama unahitaji hii kazi naomba uje kwenye comments section ujieleze tujue uwezo na uzoefu wako.

 
Posted : December 21, 2024 6:23 am

Digxam

FREE
VIEW