HABARI!
Natafuta watu watano wakufanya naoa kazi hapa AFrica Kusini,
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu,natafuta wafanyakazi wakufanyanao kazi huku AFRICA KUSINI KWENYE MJI WA Captow.
KAZI
- Logistics HUDUMA KWA WATEJA.
- Kuandaa mizigo ya kuasafirisha kutoka huku kuja huko Tanzania.
- Kusimamia zoezi zima la upakiajia na ushushaji wa mizgo kwenye Mgari.
SIFA ZA MUOMBAJI.
- Umri kuanzia miaka 18
- Lazima muombaji awe na passport ya kitabu.
- Awe tayari kuasafiri kuja huku South Africa.
- Kama uko South Africa pia unaweza kuomba Kazi.
- Kama uko South Africa hakikisha una Passport na unaishi huku kisheria.
MSHAHARA
- Kuanzia Rand 3,000 sawa na Tsh 400,000.
- Ukifanya kazi zaidi ya masaa ya akazi tunalipa overtime.
MALAZI.
- Utapewa sehemu ya kulala.
- Vyombo vyakupikia.
Kama unahitaji hii kazi naomba uje kwenye comments section ujieleze tujue uwezo na uzoefu wako.
Posted : December 21, 2024 6:23 am