Nina laptop ya Toshiba imezingua kinyama imezima ghafla sijajua shinda nini mafundi naomba masaada wenu.
@sniper Ningu kujua chanzo cha tatizo labda ungesema ulipo watu wakutafute wakuangalizie tatizo.
Niko Kibaha boss wangu.
Niko Kibaha boss wangu.