Notifications
Clear all

ONLINE AUCTION [Sticky] WASHIRIKI WOTE AMBAO TUMEJISAJILI NAOBA TUKUTANE HAPA.

8 Posts
5 Users
2 Reactions
127 Views
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

Kama umelipa ada yako ya mnada au una kifurushi chochote unataka kushiriki minada naomba tukutane hapa.

  • Toa maoni yako.
  • Toa ushauri wako.
  • Tuambia kitu gani tuongeze au kitu gani tupunguze,
  • Tuambia kama unahitaji kuuza bidhaa zako kwanjia ya mnada au kununua kwa njia ya mnada.
  • Tuambia chochote kiwe cha kujenga na kufanya manda wetu uwe bora zaidi.
 
Posted : November 15, 2024 10:17 pm
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

@digxam Nimepitia utaratibu mpya wa minada swali langu ni moja ada ya 1,000 mtu akiharibu mnada itasaidiaje kumlipa muzaji?

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : November 15, 2024 10:37 pm
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

Nadhani utaratibu utakuwa ni mzuri,swali langu ni kuhusu ada ya 1,000 last time minada ilivurugika kwasabu ya baadhi ya watu kushindani kisha wakakimbia bila kulipia bidhaa zao,nadhani hii ndio sabau ya kuweka ada,swali langu je hii ada inatofauti gani na kushiriki bure mininda?

Watu wengi wata bid kisha wataΒ  kanseli minada bila maelezoΒ  hii kitu inataisha tamaa naΒ  kuwapoteza muda watu ambao wako seriou kama ilivyo kuwa mwanza kipindi watu wana bid bila ada.

Maoni yangu.

Ada ingekuwa kubwa kidogo ilikuondoa usumbufu kwetu sisi wauzaji,ikitokea mtu kavuruga mnada awajibishwe kwa kukatwa pesa ya ada ili kuondoa utoto kwenye biashara.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : November 15, 2024 10:44 pm
admin
(@admin)
Posts: 250
Admin
 

@jonson-john Asante kwa Maoni yako,ngoja tupate maoni ya Wadau wa wengine.

Leta Tangazo lako la Biashara Tukutangazie kwa Gharama na fuu sana.wasiliana nasi:advertise@digxam.site au Whatspp +8180 2071 7421 or click here.

 
Posted : November 15, 2024 11:30 pm
Doreen Kagaruki
(@doreen-kagaruki)
Posts: 9
0.000
 

@jonson-john Ukita kuhari hizi vitu za online weka hela kubwa utawakosa watu wengi sana.

 
Posted : November 16, 2024 4:50 am
Doreen Kagaruki
(@doreen-kagaruki)
Posts: 9
0.000
 

Mtazamo wangu uko hivi kwakua watu bado tunajifunza hizi vitu basi tuache na hii ada ya 1,000 ili tujifunze mkiweka pesa nyingi wengi tutashindwa kushiriki.

 
Posted : November 16, 2024 4:52 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

Jonson Rumanyika
(@jonson-rumanyika)
Posts: 7
0.000
 

@doreen-kagaruki Uko sahii katika hili.

 
Posted : November 16, 2024 5:00 am
Jonson Rumanyika
(@jonson-rumanyika)
Posts: 7
0.000
 

@doreen-kagaruki Watu wanafuta pakuuzia biashara sio viziru kuwabana.

 
Posted : November 16, 2024 5:01 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.


Digxam

FREE
VIEW