Notifications
Clear all

SOLD! [Solved] KWAMAHITAJI YA SIMU ORGINAL MPYA AU MTUMBA AGIZA KUPITIA PAGE HII.

32 Posts
5 Users
3 Reactions
689 Views
Rahma Matty
(@rahma-matty)
Posts: 14
0.000
Topic starter
 

Natafuta iphone x GB Β 256 nIko Moshi, nataka used ambayo imetumika ulaya au Japan iwe imefunguliwa isiwe na iclud battery isiwe mbovu Β pia iwe na chaji yake original pamoja na earphones.

Malipo.

Kama uwezi kupokea pesa kwakutumia nfumo wa DIG-PAY naomba usipoteze muda wako hapa sitatuma pesa kwanjia nyingine tofauti na nfumo huu.

Β 

Β 

Kama unayo naomba tukutane kwenye coments section.

 
Posted : November 12, 2024 5:50 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

@rahma-matty Vipi umepa simu?

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : November 27, 2024 5:45 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

@rahma-matty

image
image
image

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : November 27, 2024 5:51 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

@rahma-matty hii hapo simu napokea kwa DIG-CASH,hii simu ni used Japan Simu iko Japan.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : November 27, 2024 5:53 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

@rahma-matty

image

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : November 27, 2024 6:03 am
Rahma Matty
(@rahma-matty)
Posts: 14
0.000
Topic starter
 

Hii bei gani?

 
Posted : November 27, 2024 6:05 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

Rahma Matty
(@rahma-matty)
Posts: 14
0.000
Topic starter
 

GB ngapi?

 
Posted : November 27, 2024 6:10 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

@rahma-matty 256 GB

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : November 27, 2024 6:14 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

@rahma-matty 2500,000.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : November 27, 2024 6:15 am
Rahma Matty
(@rahma-matty)
Posts: 14
0.000
Topic starter
 

Naipataje kutoka huko Japan hadi Mosho? Vipi bei inapoa kidogo?

 
Posted : November 27, 2024 6:46 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

@rahma-matty Unaipata ndani ya week moja tu. Weka balance kwenye wallet yako ya DIG-PAY kisha Lipia ili kesho mapema nikutumie kwa njia ya EMS utaichukua huko Moshi.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : November 27, 2024 6:52 am
Rahma Matty
(@rahma-matty)
Posts: 14
0.000
Topic starter
 

A.Nawekaje Balance kwenye wallet?
B.Kuna gharama zingine nitalipia huku simu ikifika?
C.Simu inakipengele chochote?

 
Posted : November 27, 2024 6:55 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

@rahma-matty A.Tumia lipa Namba 175 561 26 ya TIGO jina la mpokeaji ni Digxam Trades.Ukisha kamilisha mtumie admin copy ya receipt ya malipo @admin. B.Ndio utalipia hela kidogo kwenye department ya Custom kama ushuru. C.Simu haina kipengele chochote.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : November 27, 2024 7:04 am
Rahma Matty
(@rahma-matty)
Posts: 14
0.000
Topic starter
 

Nomba QR CODE ya hiyo lipa namba.

 
Posted : November 27, 2024 7:47 am
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
 

@rahma-matty

4080D84D ACC1 4816 A88E D24D39056586
 
Posted : November 27, 2024 7:51 am
Rahma Matty
(@rahma-matty)
Posts: 14
0.000
Topic starter
 
image
 
Posted : November 27, 2024 8:19 am
Rahma Matty
(@rahma-matty)
Posts: 14
0.000
Topic starter
 

Mbona sioni update kwenye Ewallet yangu @admin?

 
Posted : November 27, 2024 8:20 am
Rahma Matty
(@rahma-matty)
Posts: 14
0.000
Topic starter
 
balance1
 
Posted : November 27, 2024 8:34 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
 

@rahma-matty

balance2

Angalia vizuri hakikisha ume login kwenye account yako.

 
Posted : November 27, 2024 8:41 am
Rahma Matty
(@rahma-matty)
Posts: 14
0.000
Topic starter
 

OOOh sawa! nimeona kwayo nalipaje hapa.

 
Posted : November 27, 2024 8:47 am
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
 

@rahma-matty Seller kaishakutumia invoice bonyeza kitufe kimoja wapo yaki ya accept au Cancel,ukibonyeza Accept tayari uutakwa umemlipa kiasi cha 250,000 kwajili ya manunuzi ya simu ya iPHONE X GB 256 USED Japan.

 
Posted : November 27, 2024 8:52 am
Rahma Matty
(@rahma-matty)
Posts: 14
0.000
Topic starter
 

Tayari nimepata ujumbe sent to incoming balance

inauliza Release this amount 250,000 nibonyeze hiki kitufe?

 
Posted : November 27, 2024 9:01 am
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
 

@rahma-matty Hapana do not release hadi ukipata mzigo wako ndio una achilia mazima hiyo pesa au admini anaweza kukusaidia kuiachilia hizo pesa kwenda kwaΒ  muuzaji endapo utachelewesha auΒ  utakuwa nje ya mtandao kwa muda mrefu sana. Hiyo pesa umeituma ila ningumu sellerΒ  au wewe buyer kuitoa yaaniΒ  withdraw, seller anaweza kuitoa kama buyer au admin kaiachilia kwenda kwake. Buyer hii pesa inaweza kumrudia kama admin atairudisha kwa buyer hivyo admin ana mamlaka ya kurudisha hii pesa kwa buyer au kwa seller tu pia yeye hana option ya kuitoa.

 
Posted : November 27, 2024 9:17 am
Rahma Matty
(@rahma-matty)
Posts: 14
0.000
Topic starter
 

Ok Sawa asante sana @jonson-John kesho nangojea update nimekutumia ujumbe kwenye whatspp yako.

 
Posted : November 27, 2024 9:22 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
 

@rahma-matty Asante kwakutumia huduma zetu za online pamoja Huduma za malipoa kwanjiya ya matandao yaani DIG-PAY.Karibu sana.

 
Posted : November 27, 2024 9:25 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

@rahma-matty Kesho mapema ukiamka utakuta tracking number ya mzigo wako.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : November 27, 2024 9:43 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 
receipt2

Β 

Β 

Mzigo wako tayari nimeutuma kwanjia ya EMS baada ya week moja utapokea mzigo wako,asante kwakuniungisha karibu sana.

Β 

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : November 28, 2024 6:36 am
Digxam reacted
Rahma Matty
(@rahma-matty)
Posts: 14
0.000
Topic starter
 

@jonson-john Sawa nimeona nashukuru sana kwa uamnifu.

 
Posted : November 28, 2024 6:53 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

Asante ku Shukuru twendelee kuwasilina.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : November 28, 2024 6:56 am
Rahma Matty
(@rahma-matty)
Posts: 14
0.000
Topic starter
 

@jonson-john sawa

 
Posted : November 28, 2024 7:00 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

(@matema)
Posts: 2
0.000
 

Natafuta Samsung GALAXY A23 5GΒ  SC-56C bei gani hadi hapa Matema Kyela Mbeya.Β 

 
Posted : November 28, 2024 7:08 am
Hello Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
(@hello-tanzania)
Posts: 17
0.000
 

@matema Sowa

 
Posted : December 16, 2024 8:19 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.


Digxam

FREE
VIEW