Notifications
Clear all

GREETINGS! Naomba Ushauri wenu wapi ni nunue Gari kati ya nchi zifuatazo Tanzania ,Africa Kusini.Japan Duai wapi kwa uzoefu wako?

5 Posts
5 Users
0 Reactions
308 Views
 Rado
(@rado)
Posts: 7
Balance 0.000
Topic starter
 

Habari zenu wadau,swali langu ni fupi wapi kati ya hizo nchi nimezitaja hapo juu nikaagize Gari au kunua Gari,kama unauzoefu nambo ushauri wako.

 
Posted : October 16, 2024 3:59 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 147
Seller
 

Gari gani unataka kuagiza niku ushauri.

 
Posted : October 16, 2024 4:03 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 488
Seller
 

Tutajie bajet yako aina ya Gari unahitaji tutakushauri.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : October 16, 2024 4:07 am
Lucas
(@lucas)
Posts: 22
Buyer Car Dealers
 

Unataka aina gari ya Gari?

  • Truck
  • Gari DogoΒ 
  • Basi

Unataka GariΒ 

  • JipyaΒ 
  • Mtumba?
 
Posted : October 16, 2024 4:17 am
(@makarius)
Posts: 5
Buyer Car Dealers
 

Kuna Magari yanapatika Japan ukiyatafuta South Afrika au Dubai upati pia kna Magari yanapatikana South Africa ukiyatafuta Dubai au Japan upati,ebu funguka unataka Gari gani?Β 

 
Posted : October 16, 2024 4:25 am

Leave a reply

Author Name

Author Email

Title *

My Media   or drag and drop it here. Max file size 1GB
 
Preview 0 Revisions Saved