Notifications
Clear all

Digxam HERI YA WEEKI YA HUDUMA KWA MTEJA

30 Posts
11 Users
20 Reactions
308 Views
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

 

Happy2

Asante kwakuwa mteja wetu wa thamani, Ahadi yetu nikuendele kukapa huduma bora za mtandaoni.Karibu mpate huduma zenye viwango vya kimataifa kama ifuatavyo:

  • Weka Tangazo lako la bidhaa   ufikie watu wengi.
  • Leta Tangazo lako la huduma Tukutangazie.
  • Agiza Simu Laptops Play Stations na vifaa vya umeme ndani na nje ya Nchi.
  • Agiza Gari Lako kutoka Japan Dubai na South Africa. 
  • Tumia Plaform ya Minda ungeze thama ya bidhaa zako.

Asante kwakuchagua Digxam tunaomba maoni yako kwenye comments section .

 
Posted : October 7, 2024 10:53 am
(@full-dose)
Posts: 13
0.000
 

Asante kwa huduma bora za Digital Services, Kuna changamo bado kwenye kwenye mifumo ya malipoa naomba mkaifanyie kazi hadi next Year kila kitu kiwe sawa.

 
Posted : October 7, 2024 11:27 am
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

@full-dose Asante sana kwanchango wako,Ulikuna na changamoto gani kwenye nfumo wa malipo tuifanyie kazi.

 
Posted : October 7, 2024 11:30 am
(@full-dose)
Posts: 13
0.000
 

@digxam Kuna siku nilifanya malipo kwa seller Japan ilichukua siku mzima kupata taarifa ya muamala kwama,maoni yangu hii ni mbaya sana kwa Digital Platform kubwa kama hii yenye malengo kakubwa kiukweli sikufurahia kabisa,naomba next time  nikifanya malipo Seller afanye confirmation  papo kwa hapo tofauti na hapo itakuwa aileti maana ya Digital Platform itakuwa Analogy Platform.

 
Posted : October 7, 2024 11:56 am
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

@full-dose Asante tulifanyia kazi.

 
Posted : October 7, 2024 11:59 am
(@mwanaisha)
Posts: 3
0.000
 
IMG 20240910 WA0004

Asante sana.

 
Posted : October 7, 2024 12:12 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

(@lucas)
Posts: 18
Car Dealers
 

Kidogo kuna jambo limenikwaza sana,leo naomba niliseme hapa mwezi uliopita niliagiza Gari la mteja wangu kwakutumia account zangu za bank nikatma  hella Japan, nikamtumia Majina ya mteja wangu ili Gari likifika liasome majina yake moja kwa moja lakini chakushangaza juzi nilitumiwa BL zinasoma jina langu nakamcheki Seller akaniambia ningumu kubalisha majina kwasabu pesa zimetoka kwenye account yangu je  hii ikosawa admin?

 
Posted : October 7, 2024 12:27 pm
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

@lucas Pole sana,nemejaribu kutafuta hizo thread  yenye makubaliano  sijaiona  hapa naomba kujua mliwasilina kwanjia zipi hadi kufikia hatua hiyo,kama ni kwenye jukuwa la Magari naomba  unitumie link.

2.Kama Meli imefika itakuwa ngumu kufanya amendment kwenye BL.

3.Lakini kama meli bado ikonjiani sio tatizo  amendment itafanyika bila gharama yoyote, leta hiyo link ya makubalino tuone hoja za Seller ni zipi.  

 
Posted : October 7, 2024 1:00 pm
Lucas reacted
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

@lucas Pole sana,nemejaribu kutafuta hizo thread  yenye makubaliano  sijaiona  hapa naomba kujua mliwasilina kwanjia zipi hadi kufikia hatua hiyo,kama ni kwenye jukuwa la Magari naomba  unitumie link.

2.Kama Meli imefika itakuwa ngumu kufanya amendment kwenye BL.

3.Lakini kama meli bado ikonjiani sio tatizo  amendment itafanyika bila gharama yoyote, leta hiyo link ya makubalino tuone hoja za Seller ni zipi.  

 
Posted : October 7, 2024 1:00 pm
Lucas reacted
(@lucas)
Posts: 18
Car Dealers
 

@digxam Hii niliwasiliana nae kupitia kwenye (Private Room VIP)  kila nikijaribu kuweka hapa inagoma inaniambia (error ,You don't have permission    to access this link for your level) ukiingia hapo utainoa imekua approved na Modulator.

 
Posted : October 7, 2024 1:12 pm
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

@lucas Sawa  nimeona Pole sana,ukiangalia hapo   nime comment chini ya hiyo thread yenu ya makubaliano, Kwakifupi amendment ya BL kubadilisha Consignee  kutoka kwako kuja kwa Mteja wako  itafanyika bila gharama yoyote  as longer as Gari bado kufika kwenye final  Destination  .Fanya mambo ya fuatayo,mtumie seller kwajilia ya amendment :

  1. Tuma majina kamili ya mteja wako bila kukosea jina wala herufi moja kama yalivyo kwenye Passport au Kitambulisho chake .
  2. Majina ya fanane sawa na kwenye TIN namba ya TRA.
  3. Tuma address ya Mteja wako sawa na kwenye kitambulisho chake au Passport  yake ya  Kusafiria.
  4. Baada ya Gari kufika Bandarini unatakiwa kupekeka  copy ya  kitambulisho pamoja na  Documents ambaazo utaobwa na Agent kwajilia ya kutoa Gari Bandarini.

 

  • Hizo BL zako ambazo umetumiwa  zitaendelea kusama majina yako,mabadiliko yatafanyika kwenye system ya shipping company na kwenye Mamlaka  zingine.
  • Delivery Oder kutoka kwenye shipping Company baada ya Gari la Mteja wako kufika  itasoma Majina ya  mteja wako badala ya Majina yako. 
  • Pia Release Order kutoka TRA baada  ya Gari la Mteja wako kufika na  kutoka Bandarini  Majina ya umiliki yatasoma mteja wako  badala ya Majina yako.
  • Registration card kutaka TRA pia itasoma Majina ya  ya mteja wako badala ya Majina yako.  

Kama unaswali maoni mapendekezo naomba nikusaidie,

 
Posted : October 7, 2024 1:54 pm
(@lucas)
Posts: 18
Car Dealers
 

@digxam Asante sana!

Nimetuma kila kitu vipi  itachkua muda gani?

 

Jambalingine naomba Car Dealers tuanamba tupate access ya kufanya adding content zetu kwenye jukwaa angalau moja la Magari, hii imekuwa changamoto sana kwetu hata kama wengine wamekaa kimya nitawasemea,nfano mtu ukikosea herufi au sentensi inabaki hivyo hivyo wakati mwingine mteja anashindwa kulewa ulitaka kusema nini  pia simu kuna muda uandika maneni ya matusi bila mtu kujua hivyo naomba masaada kwenye hili.

 
Posted : October 7, 2024 2:43 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

@lucas Amendment ndani ya masaa 24  itakuwa tayari relax.

Kuhudu access ya kufanya editing iliondolewa kwa sellers wote kwasababu ya undanganyifu baadhi ya Sellers wanafuta makubaliano ya awali wanapachika uongo mwisho  Buyers wakalalmika sana pia na baadhi ya Buyers waongo ikabidi  hii huduma ifungwe. 

Kuanzia kesho Tarehe 08/10/2023 tutarudishwa hizo access kwa watumiaji wote kwa masharti  ukifanya maboresho yoyote kwenye Posts zako au kwenye comments zako baada yaku repost zitakua invisible kwenye public hadi @Admin azipitie na kufanya approving hivyo kuweni makini unapo chati na mteja wako kabala ya kutuma preview soma malambi ondoa makosa  kabla ya kutuma.

Tunakaribisha maoni na ushauri.

 
Posted : October 7, 2024 3:11 pm
(@lucas)
Posts: 18
Car Dealers
 

@digxam  🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 😍 😍 Pamoja sana.

 
Posted : October 7, 2024 3:26 pm
Omega
(@omega)
Posts: 45
0.000
 

Habari njema

 
Posted : October 9, 2024 6:01 pm
Sniper
(@sniper)
Posts: 71
Deposit 50,000
 
BA93A44E 643D 47DF A2E4 2D5BF316B0BA

Ngoja niwachangie,hasente kwa huduma bora.

 
Posted : October 20, 2024 5:34 pm
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 185
Admin
 

@sniper asante sana!

Tayari nimekuunga na kifurushi cha 30,000 cha mwaka.

 
Posted : October 20, 2024 5:44 pm
Sniper
(@sniper)
Posts: 71
Deposit 50,000
 

@veronica-victor Poa sister admin 👩‍💼

 
Posted : October 20, 2024 5:45 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

(@sweetheart)
Posts: 3
0.000
 

Swali langu moja tu simple  Digxam nini?

 
Posted : October 21, 2024 10:07 am
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

@sweetheart Asante sana kwakuliza swali,Digxam ni mtandao wa Biashara Duniani kwanjia za kidigital

 
Posted : October 21, 2024 7:46 pm
Mbuta Likasu
(@mbuta-likasu)
Posts: 4
0.000
 

Kwa majina naitwa Mbuta Likasu napenda vile hii inatumika muzuri sana.

 
Posted : October 21, 2024 8:30 pm
Umoja
(@umoja)
Posts: 6
Customer
 

Nimepitia comments huu ni umoja wa roho umetuleta pamoja.

 
Posted : October 21, 2024 9:57 pm
(@emmyname)
Posts: 35
0.000
 

@digxam Habari boss!

 
Posted : October 26, 2024 1:25 pm
(@emmyname)
Posts: 35
0.000
 

@digxam Utaratibi ukoje?

 
Posted : October 26, 2024 1:25 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

(@emmyname)
Posts: 35
0.000
 

@mwanaisha Uko mkoa gani?

 
Posted : October 26, 2024 1:27 pm
(@emmyname)
Posts: 35
0.000
 

@omega Habari!

 
Posted : October 26, 2024 1:27 pm
(@emmyname)
Posts: 35
0.000
 

@sniper Umefanya vizuri sana hizi huduma zinasaidia sana huko mbeleni.

 
Posted : October 26, 2024 1:28 pm
(@emmyname)
Posts: 35
0.000
 

@sweetheart Nimekuelewa vizuri.

 
Posted : October 26, 2024 1:29 pm
(@emmyname)
Posts: 35
0.000
 

@umoja Umeona heee

 
Posted : October 26, 2024 1:30 pm
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

Unatakiwa uwe na membership kabla ya yote.

 
Posted : November 1, 2024 6:36 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.


Digxam

FREE
VIEW