Notifications
Clear all

MADA NI KWA NAMNA GANI UNAWEZA KUAGIZA GARI YAKO.

8 Posts
6 Users
3 Reactions
298 Views
(@kaizajohaiven)
Posts: 7
Balance 0.000
Topic starter
 

Digxam NDO company pekeee Ambayo unaweza ukaagiza gari, ama laptop chochote kile na ukakipata kwa wakati sahihi popote ulipo dunian , ko kalibu wewe ambae unasom/ unaona / ambaeunataka kuagiza kalibu na ungana nasi kwa ajili ya kuagiza bidhaa yako unayo taka wewe. Pia ,Kuna vifurushi ambavyo unapewa UKIWA members wa Digxam na UKIWA umejisajili . Kalibun WOTE


 
Posted : September 26, 2024 11:39 am
Kandida and Audax Kato reacted
(@audax-kato)
Posts: 5
Balance 0.000
 

Asante mkuu tukopamoja.


 
Posted : September 26, 2024 11:43 am
(@audax-kato)
Posts: 5
Balance 0.000
 

Nikichagua  kifurushi cha 50k vipi nitapa access zipi mkuu ?


 
Posted : September 26, 2024 11:50 am
Kandida
(@kandida)
Posts: 25
Available 20K
 

Kwenye minada kifurushi gani kizuri cha kulipia na muda gani kitadumu?


 
Posted : September 26, 2024 11:53 am
Kandida
(@kandida)
Posts: 25
Available 20K
 

Asante kwa taarifa mh @moderator 


 
Posted : September 26, 2024 12:06 pm

Innocent
(@innocent)
Posts: 49
Deposit 50K
 

Minada imetiwa password tunaingiaje mkuu?


 
Posted : September 26, 2024 12:28 pm
Faraja
(@faraja)
Posts: 28
Balance 0.000
 
C53BFDB4 610F 45F6 B3CF BBA53F2E37FA

😂😂😂😂😂😂😂😂😂


 
Posted : September 26, 2024 12:58 pm
Jasusi Mweusi
(@jasusi-mweusi)
Posts: 44
Available 20K
 

@faraja Nimecheka sana yaani.


 
Posted : September 26, 2024 1:03 pm