ZAWADI ZAWADI!
Hii laptop nimeinunua mwaka jana tarehe kama ya leo 20/08/2024 leo imetimiza mwaka moja tangu nimeinunua ,kama unahitaji hii pc naomba comment kwenye comments section. 1.)Niambia kwanini unahitajo hiii 💻
2.Kwanini asipewe mtu mwinine upewe wewe..
Habari Sister 👋 naoimba hii pc 💻 Niko chuo na soma.sina mkopo pia wazazi wangu hawana uwezo wa kuninunulia pc.
Dada mimi nina matatizo mengi sana nikianza kuyataja hapa nitajaza sever zenu bure nakaomba hapa ka laptop please.
Ukimuwezesha mwanamke moja hii lap top basi umeweza kijiji kizima
Hii inafaa mimi dada Vero wengine wasubiri zawadi zengine.
Dada Vero huna baya naomba hiyo pc kwasabu mimi bado sijapata kazi ujue sister wangu na hii pc ni muhimusana yaani.
Jamani jamani nawaombeni sana kujibu maswali yangau vizuri msini zuge hapa
1.)Niambia kwanini unahitajo hiii
2.Kwanini asipewe mtu mwinine upewe wewe..
Dada yangu Veronica naomba unipe hiyo laptop juu ya nini nasema hivyo mimi niko huku Congo tunapitia magumu ya mingi kama unanipatia haka katanisaidia sana.
My love hii pc inanifaa mimi Gemimah usimpe mtumwingine kwasababu katika watu wote waliko hapa mimi pekee ndo sina laptop jamani eeh.
Hii bado ipo kama unahitaji njoo hapa jibu maswali yangu.
Tayari ukipokea niambie.