Notoa Offa ya Watu ...
 
Notifications
Clear all

Vacation Notoa Offa ya Watu 10 Kwenda Vacation, Holiday,Mapunziko nchini Africa Kusini

118 Posts
44 Users
39 Reactions
785 Views
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

 

image

Natafuta watu 10 watakaokuwa tayari kusafiri kutoka Tanzania na kukutana na mimi   Africa kusini Durban.

 

#Muda

Tutakaa kunda wa  wa siku tano tu,nimefanya book ya tarehe 05/09/2024 

 

#Mada 

kujadili mambo mbalimbali kuhusu mtanda wote wa digxam,Kwasasa niko Japan nitaondoka japan moja kwamoja Africa Kusini kisha nitakuja huko Tanzania na kurudi Japan.

#Sehemu Tutafika 

uShaka Marine World ni sehemu mzuri sana unaweza ku goole nakupaangalia.

 

#Sifa za waombaji:

1.Jisajili

2.Jaza hii Form  kisha Comment kwenye hii thread 

3.Kigezo cha kwanza tutaangalia muda ambo umejisajili,nfano watu wawili wakituma maombi let say moja kajisajili leo mwingine alijisajili jana tutanchukua aliejisajili jana.

4.Pia ukiwahi ku comment hapa chini.

5.Passport kubwa ya kitabu.

6.Chanjo ya Yellow fever 

image

 

4.Umeshikiri mambo mangapi kuchangia hoja mbalimbali za kibiashara au kununua bidhaa kupitia kwenye app hii kutoka kwa wauzaji waki sehemu mbalimbali.

5.Pasport kama huna ni juu yetu.

6.Tiket ya ndege kwenda na kurudi

7.Chakula 

8.Malazi

9.Posho

10.Mchakato utafanyika ndani ya siku 10 kuanzia leo tarehe 05/08/2021 ,washindi watatangazwa tarehe 15/08/2024 kuwa wa kwanza. 

 

Imedhamini na Digxam wote mnakaribishwa.

 

 

 

 

 


 
Posted : August 5, 2024 7:32 am
Kabanza
(@kabanza)
Posts: 17
0.000 Pay Cash
 

Sister mimi hata passport nayo naomba hii trip niwemo. 


 
Posted : August 5, 2024 8:13 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

NJia peke ya kutuma maombi yako ni comment yako hapa.


 
Posted : August 5, 2024 8:23 am
Ngaliba
(@ngaliba)
Posts: 41
1k Pay Cash
 

Niko tayari


 
Posted : August 5, 2024 8:33 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@kabanza Karibu sana.


 
Posted : August 5, 2024 8:38 am

corretion

Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@ngaliba Karibu sana asante unaweza kuwa moja wapo.


 
Posted : August 5, 2024 8:41 am
Omega
(@omega)
Posts: 45
40K Trade Bond
 

Naomba niwemo kwenye list


 
Posted : August 5, 2024 8:48 am
Digxam
(@digxam)
Posts: 68
Admin
 

@omega Karibu sana.


 
Posted : August 5, 2024 8:49 am
Kilimanjaro
(@kilimanjaro)
Posts: 36
100K Trade Bond
 

Niko tayari 😍 🤩 😍 🤩 😍 🤩 😍 🤩 


 
Posted : August 5, 2024 8:53 am
Kilimanjaro
(@kilimanjaro)
Posts: 36
100K Trade Bond
 

Niko tayari 😍 🤩 😍 🤩 😍 🤩 😍 🤩 


 
Posted : August 5, 2024 8:53 am

exp

Kaganda
(@kaganda)
Posts: 50
100K Trade Bond
 

HELLO


 
Posted : August 5, 2024 9:06 am
Kaganda
(@kaganda)
Posts: 50
100K Trade Bond
 

Naamini sifa nanazo


 
Posted : August 5, 2024 9:06 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@kilimanjaro Safi sana.


 
Posted : August 5, 2024 9:12 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@kilimanjaro Karibu sana.


 
Posted : August 5, 2024 9:13 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@kaganda Shocti Karibu sana.


 
Posted : August 5, 2024 9:14 am

corretion

Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@kaganda Aaah wewe tena.


 
Posted : August 5, 2024 9:15 am
Sabini
(@sabini)
Posts: 37
0.000 Pay Cash
 

Naweza kusafiri na mwenza wangu?


 
Posted : August 5, 2024 10:03 am
Furaha
(@furaha)
Posts: 31
1k Pay Cash
 

Kuna malipo yoyote?


 
Posted : August 5, 2024 10:06 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@sabini Yuko wapi kama ni member hapa Hakikisha nacoment hapa,


 
Posted : August 5, 2024 10:08 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@furaha Hapana.


 
Posted : August 5, 2024 10:09 am

exp

Erickson
(@erickson)
Posts: 20
25M Trade Bond
 

Sisi wa mkoani vipi inatuhusu?


 
Posted : August 5, 2024 10:17 am
Moderator reacted
Juma Sanka
(@juma-sanka)
Posts: 28
50K Pay Cash
 

Safi sana pamoja sana.


 
Posted : August 5, 2024 10:20 am
Moderator reacted
Suzani
(@suzani)
Posts: 20
0.000 Pay Cash
 

Noted


 
Posted : August 5, 2024 11:46 am
Moderator reacted
Jailes Mwesigwa
(@jailes-mwesigwa)
Posts: 7
0.000 Pay Cash
 

Asante sana dada yangu.


 
Posted : August 5, 2024 12:27 pm
Moderator reacted
Jasusi Mweusi
(@jasusi-mweusi)
Posts: 44
1k Pay Cash
 

Nipo


 
Posted : August 5, 2024 12:40 pm
Moderator reacted

corretion

Geofy Muhagama A
(@geofy-muhagama-a)
Posts: 13
20K Trade Bond
 

Hello


 
Posted : August 5, 2024 4:05 pm
Moderator reacted
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 147
100M Trade Bond
 

Nitawapoke karibuni sana.


 
Posted : August 5, 2024 4:09 pm
Faraja
(@faraja)
Posts: 28
0.000 Pay Cash
 

Red red wine!


 
Posted : August 5, 2024 4:14 pm
Lilian Katabaro
(@lilian-katabaro)
Posts: 21
20K Trade Bond
 

@faraja Fure vibe wanangu.


 
Posted : August 5, 2024 4:18 pm
Lilian Katabaro
(@lilian-katabaro)
Posts: 21
20K Trade Bond
 

safi sana wanangu.


 
Posted : August 5, 2024 4:19 pm
Moderator reacted

exp

Moderator
(@moderator)
Posts: 129
Moderator
 

@lilian-katabaro Asante sana.


 
Posted : August 5, 2024 4:22 pm
Moderator
(@moderator)
Posts: 129
Moderator
 

@erickson Utalipiwa gharama za usafikiri kutoka ulipo hadi dar.


 
Posted : August 5, 2024 4:24 pm
Moderator
(@moderator)
Posts: 129
Moderator
 

@juma-sanka Umesemake boss.


 
Posted : August 5, 2024 4:24 pm
Moderator
(@moderator)
Posts: 129
Moderator
 

@suzani Karibu sana.


 
Posted : August 5, 2024 4:25 pm
Moderator
(@moderator)
Posts: 129
Moderator
 

@jailes-mwesigwa Asante kushiriki.


 
Posted : August 5, 2024 4:26 pm

corretion

Moderator
(@moderator)
Posts: 129
Moderator
 

@jasusi-mweusi Asante sana.


 
Posted : August 5, 2024 4:27 pm
Moderator
(@moderator)
Posts: 129
Moderator
 

@geofy-muhagama-a Karibu sana.


 
Posted : August 5, 2024 4:29 pm
 Good
(@good)
Posts: 18
0.000 Pay Cash
 

Nimepa zoom pako vizuri.


 
Posted : August 5, 2024 4:32 pm
(@kamau)
Posts: 14
0.000 Pay Cash
 

Ngoja nianze kufanya mazoezi ya salam,Ninjani Comasava.


 
Posted : August 5, 2024 4:36 pm
meruly
(@meruly)
Posts: 35
70K Trade Bond
 

Ozaaa!


 
Posted : August 5, 2024 4:38 pm

exp

(@Anonymous 1)
Posts: 247
 

@faraja Full vibe !!


 
Posted : August 5, 2024 4:40 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 247
 

@good Umeona eeh


 
Posted : August 5, 2024 4:41 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 247
 

@kamau 🤗 🤗 🤗 🤗 🤗 🤗 🤗 🤗


 
Posted : August 5, 2024 4:42 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 247
 

@meruly 😍 😍 😍 😍 😍 😍 😍 😍


 
Posted : August 5, 2024 4:43 pm
 Emma
(@emma)
Posts: 15
10K Pay Cash
 

Hii imekaa vizuri sana.


 
Posted : August 5, 2024 4:45 pm

corretion

(@sauda)
Posts: 4
0.000 Pay Cash
 

Tundoke na Custer kama vipi 


 
Posted : August 5, 2024 4:48 pm
Innocent
(@innocent)
Posts: 49
200K Trade Bond
 

cc @kababdwa


 
Posted : August 5, 2024 4:50 pm
 Siah
(@siah)
Posts: 7
0.000 Pay Cash
 

Idadi ni ngogo sana kama vipi ongeza kidogo.


 
Posted : August 5, 2024 4:52 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 247
 

@emma 🤩 🤩 🤩


 
Posted : August 5, 2024 4:55 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 247
 

@sauda Wazo zuri sana.


 
Posted : August 5, 2024 4:56 pm

exp

(@Anonymous 1)
Posts: 247
 

@innocent 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣


 
Posted : August 5, 2024 4:57 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 247
 

@siah 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎


 
Posted : August 5, 2024 4:57 pm
Natasha Kazimoto
(@natasha-kazimoto)
Posts: 19
1k Pay Cash
 

Siwezi pata nafasi hadi mwezi 12.


 
Posted : August 5, 2024 5:00 pm
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@natasha-kazimoto Usijali next time.


 
Posted : August 5, 2024 5:03 pm
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@siah Noja tuone kama kampuni itaongeza bajeti


 
Posted : August 5, 2024 5:05 pm

corretion

(@kabandwa)
Posts: 43
30K Trade Bond
 

Hahoooo hii sio ya kukosa,wabongo  tunaogopa kusafiri

 

kwani lugha gani wanatumia huko?


 
Posted : August 5, 2024 6:11 pm
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@natasha-kazimoto Pole next time itajiunga.


 
Posted : August 6, 2024 6:01 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@kabandwa Unaogopa nini?


 
Posted : August 6, 2024 6:04 am
Sniper
(@sniper)
Posts: 100
2.M Trade Bond
 

Habari Dada Vero 


 
Posted : August 6, 2024 6:07 am
Ngaliba
(@ngaliba)
Posts: 41
1k Pay Cash
 

Safi sanaa.


 
Posted : August 7, 2024 8:52 am

exp

Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@sniper Mzuri karibu sana asante kushiri.


 
Posted : August 7, 2024 8:55 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@ngaliba Karubu sanaa 🤗 🤗 🤗 🤗 🤗 🤗 🤗


 
Posted : August 7, 2024 8:55 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

Hii ni babari njema,Digxam imekubali ombi letu la kuongeza idadi ya watu kutoka watu watano hadi 10 watakao chaguliwa kwenda kutembea nchini Africa kusini, makofi mengi na pongezi kwa uogonzi!


 
Posted : August 7, 2024 8:59 am
(@alumando)
Posts: 14
1k Pay Cash
 

@veronica-victor Waoh safi sana!


 
Posted : August 7, 2024 9:02 am
(@alumando)
Posts: 14
1k Pay Cash
 

Natamani tukutane uso kwa uso Africa kusini@veronica-victor.


 
Posted : August 7, 2024 9:03 am

corretion

Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@alumando Tukikutana uso kwa uso utanambia nini sasa?


 
Posted : August 7, 2024 9:06 am
Alumando reacted
(@alumando)
Posts: 14
1k Pay Cash
 

@veronica-victor 🌹 🌹 🌹 🌹 🌹 🌹 ❤️ 🥂 🥂 🥂 🥂 🥂 🥂 Nakupenda.


 
Posted : August 7, 2024 9:09 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@alumando 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Iyoooh! alafu na Mumewangu anakuangalia ukisema hiyo?


 
Posted : August 7, 2024 9:12 am
Alumando reacted
(@alumando)
Posts: 14
1k Pay Cash
 

@veronica-victor Mambo ya huku kazini yanamuhusu nini sasa?


 
Posted : August 7, 2024 9:16 am
Rosa Lia
(@rosa-lia)
Posts: 29
1k Pay Cash
 

Hello @veronica-victor 


 
Posted : August 7, 2024 9:21 am

exp

Serengeti Premium Lager
(@serengeti-premium-lager)
Posts: 8
0.000 Pay Cash
 

Ukimaliza mchaka wa kupata washindi naomba unitag i see  kila mshindi nitampa zawadi ya bia 10 za Serengeti.


 
Posted : August 7, 2024 9:33 am
Khadija Omary
(@khadija-omary)
Posts: 13
1k Pay Cash
 

@serengeti-premium-lager 😍 😍 😍 😍 😍 😍 😍


 
Posted : August 7, 2024 10:01 am
Khadija Omary
(@khadija-omary)
Posts: 13
1k Pay Cash
 

Natoa taarifa kwamba na naenda hakuna kama ya rohomba au rohomzuri inaweza kata jina langu,@veronica-Victor kaanzi hii platform kwa tabu sana nikatia moyo tuko waili leo mtu aniambie chochote naenda Vero natoa taarifa mie. 


 
Posted : August 7, 2024 10:05 am
Aginess Mkugwe
(@aginess-mkugwe)
Posts: 15
1k Pay Cash
 

@khadija-omary Maisha yanakasi sana sikuamini@veronica-Victor kaondoka hadi nchini bila kutuaga jamani lolo.


 
Posted : August 7, 2024 10:10 am
Tanzania Safari Lodges
(@tanzania-safari-lodges)
Posts: 28
10K Trade Bond
 

@aginess-mkugwe Hata salamu sikuhizi sijibiwi jamani tupo mashositors wako njoo kama unalakusema hii safari inatuhusu jamani.


 
Posted : August 7, 2024 10:15 am

corretion

Tanzania Safari Lodges
(@tanzania-safari-lodges)
Posts: 28
10K Trade Bond
 

@aginess-mkugwe Umeona eeh.


 
Posted : August 7, 2024 10:25 am
Jenifa
(@jenifa)
Posts: 21
1k Pay Cash
 

Basi inatosha bandugu  turudi kwenye mada.


 
Posted : August 7, 2024 10:32 am
Jenifa
(@jenifa)
Posts: 21
1k Pay Cash
 

@rosa-lia Acha na hizo mambo


 
Posted : August 7, 2024 10:35 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@alumando Acha ujinga.


 
Posted : August 7, 2024 10:58 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@rosa-lia Karibu.


 
Posted : August 7, 2024 10:58 am

exp

Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@serengeti-premium-lager Aaah!


 
Posted : August 7, 2024 10:59 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@aginess-mkugwe What are you raising madam Aginess?


 
Posted : August 7, 2024 11:01 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@aginess-mkugwe What are you raising madam Aginess?


 
Posted : August 7, 2024 11:02 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@tanzania-safari-lodges Na nani?


 
Posted : August 7, 2024 11:04 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@jenifa Karibu umejiunga kwenye mchakato tayari kama unasifa utachaguliwa.


 
Posted : August 7, 2024 11:05 am

corretion

Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

Honorable Members,Naomba niwakumbushe idadi ni watu 10 tu kati ya watu wote mlioko hapa au mlio koment hapa,swala la ulazima wa mtu au mtu kulazimisha  kutokana na history zetu na urafiki wetu it cant work here,vigezo na mashari kuzingatiwa naomba members tuacha kushinikiza nakupanga matokeo tuache majaji watuletee idadi ya watu 10 kisha twendele na utaratibu mwingine.

 

Kama kuna mtu ana hoja nje ya huu mchakato wa safari ya kwenda Africa Kusini unaweza kuanzisha substation motion au kufungua thread mpya kwajili ya jambo hilo,hii  thread ni kwajili ya kupata watu 10 kwajili ya kwenda kutembe nje ya nchi.

 @Moderator be in order please,kama kuna mtu anavunja kanuni za mijadala kwenye hii platform utaratibu uko wazi  , Thank you. 


 
Posted : August 7, 2024 11:14 am
Aginess Mkugwe
(@aginess-mkugwe)
Posts: 15
1k Pay Cash
 

@veronica-victor  Kwaiyo unamwambia Moderator atuwe kwenye black list au unampa maelekezo gani kwani sisi ni vibaka?


 
Posted : August 7, 2024 11:54 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@aginess-mkugwe Kwani madai yako ni yapi?

Naomba unieleze pia waeleze  na watu wanaosama hizi msg zako.Ukishindwa kuniambia madai yako nitakufungia kuchangia kwenye hii thread, acha utoto.


 
Posted : August 7, 2024 12:00 pm
Gen Zs
(@gen-zs)
Posts: 10
0.000 Pay Cash
 

Habari dada!


 
Posted : August 7, 2024 1:03 pm
Moderator
(@moderator)
Posts: 129
Moderator
 

@veronica-victor Sawa napitia comments.


 
Posted : August 7, 2024 2:21 pm

exp

(@kabanga)
Posts: 2
0.000 Pay Cash
 

Tuko watoto wamjini tuhizo furusa tukatoe matongotongo.

Njani muhlez!


 
Posted : August 7, 2024 2:47 pm
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@kabanga Karibu sana.


 
Posted : August 8, 2024 10:26 am
Ngaliba
(@ngaliba)
Posts: 41
1k Pay Cash
 

@gen-zs Asante.


 
Posted : August 8, 2024 2:28 pm
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

Habari Guys,

Unapo coment hapa kwenye hii thread nisawa nakuingia kwenye droo ya mchakato lakini ukiendelea comment kwenye content mbalimbali au kufungua thread nakunzisha content zako  kupitia kwenye hii website unajiweka kwenye nafasi mzuri ya kushinda safari ya kwenda South kwenye mapunziko.

share hii kwenye mitandao ya kijamii ujiongezee nafasi ya kushinda.  @discover-true-love-today-ht @joseph-king @kandida @mr-nasir @siah 


 
Posted : August 9, 2024 9:59 am
Digxam
(@digxam)
Posts: 68
Admin
 

Watu 10 waliotimiza vigezo Wote mliopigiwa simu naomba tukutane kwenye Platform ya Matembezi (South Africa 2024)   tumewatumia mwaliko jinsi ya kujiunga fanya hivi.

1.)Ingia kwenye account yako

2.) Kubali kupokea mwaliko, utakapokubali mwaliko utakuwa umejiunga kwenye hii platform ya (South Africa 2024)

3.)Tuma ujumbe au changia mada tujadili pamoja kuhusu hii safari yetu.

4.)Kama ujabahatika kuchaguliwa usijali kuna offa nyingi zinaendelea kutangazwa  endelea kushiriki mijadala mbalimbali sambamba na kuuza na kununua bishara zako kutoka kwa wauzaji bidhaa kutoka kwenye mataifa  mbalimbali ili ukidhi vigezo vya kushiri mashindano mbalimbali yanayo ratibiwa na Digxam

5.Kama uko kwenye list ya watu 10 unahisi kutokupata nafasi ya kusafiri naomba utoa taarifa mapema ili hii nafasi mtumpe mtu mwingine.

6.Hakuna gharama yoyote wa mchango hii safari imedhamini wa Digxam kwa asilimia 100 kwa members wote.

7.)Asante wote kwa kushiriki.


 
Posted : August 17, 2024 8:22 am

corretion

Kabanza
(@kabanza)
Posts: 17
0.000 Pay Cash
 

@digxam Asante mimi tayari nime comment kwenye hiyo platform


 
Posted : August 17, 2024 8:25 am
Digxam reacted
Full Dose
(@full-dose)
Posts: 18
0.000 Pay Cash
 

@digxam Hii mbona kimya kimya?


 
Posted : August 17, 2024 8:32 am
Kabanza
(@kabanza)
Posts: 17
0.000 Pay Cash
 

Safi sana.


 
Posted : August 17, 2024 8:33 am
Digxam
(@digxam)
Posts: 68
Admin
 

@kabanza Karibu sana.


 
Posted : August 17, 2024 8:35 am
Digxam
(@digxam)
Posts: 68
Admin
 

@full-dose Hii imetangazwa muda


 
Posted : August 17, 2024 9:38 am

exp

Ngaliba
(@ngaliba)
Posts: 41
1k Pay Cash
 

@digxam @Veronica-Victor  yuko wapi siku hizi?


 
Posted : August 17, 2024 9:51 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@ngaliba Nipo karibu.


 
Posted : August 18, 2024 4:55 am
Khadija Omary
(@khadija-omary)
Posts: 13
1k Pay Cash
 

Asante japokuwa  marafiki zangu wote sijaona hata moja


 
Posted : August 18, 2024 7:57 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@khadija-omary Siku nyingine.


 
Posted : August 19, 2024 7:20 am
Bila Bila reacted
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@khadija-omary Siku nyingine.


 
Posted : August 19, 2024 7:20 am
Bila Bila reacted

corretion

Bila Bila
(@bila-bila)
Posts: 9
3M Trade Bond
 

@veronica-victor Vero nimefatilia comments zako nimefurahi sana wewe ni boss lady kiukweli kutoka moyoni nimetokea kukupenda bure.


 
Posted : August 19, 2024 7:47 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@bila-bila Asante mpenzi,Kawaida mbona.


 
Posted : August 19, 2024 7:48 am
Bila Bila
(@bila-bila)
Posts: 9
3M Trade Bond
 

@veronica-victor Hapana nisikile mimi nachokuambia.


 
Posted : August 19, 2024 7:50 am
Jayleen
(@jayleen)
Posts: 14
100M Trade Bond
 

Asante sana.


 
Posted : August 19, 2024 8:33 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@jayleen Cool


 
Posted : August 20, 2024 7:29 am

exp

(@gemimah)
Posts: 8
1k Pay Cash
 

Shosist na mimi nimo aiseeh 


 
Posted : August 20, 2024 7:37 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@gemimah Umechelewa next time.


 
Posted : August 22, 2024 4:32 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

Safari imeiva Guys.


 
Posted : August 22, 2024 4:33 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

Hii imenda kama ilivyopangawa nashuru Mungu.


 
Posted : September 5, 2024 4:39 am
Marioh reacted
(@marioh)
Posts: 9
1k Pay Cash
 

Kuna video moja niliona uko beach unaogerea kisha ukaifuta vipi kwanini ullifuta mbona ilikua kawaida tu.


 
Posted : September 5, 2024 4:48 am

corretion

Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 
IMG 20240823 WA0000

 
Posted : September 5, 2024 4:50 am
Marioh reacted
(@marioh)
Posts: 9
1k Pay Cash
 

@veronica-victor Nataka ile video ulipost nakufuta.


 
Posted : September 5, 2024 4:53 am
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 187
Admin
Topic starter
 

@marioh Video gani mimi sina hiyo video acha uzushi.


 
Posted : September 5, 2024 4:55 am