Notifications
Clear all

KILIMO NA UFUGAJI KAMA UNABIDHAA ZOZOTE KUHUSU KILIMO NA UFUGAJI POST HAPA.

6 Posts
3 Users
2 Reactions
229 Views
(@nguma)
Posts: 5
0.000
Topic starter
 
Screenshot 20240626 190641 Chrome

BIDHAA YOYOTE YA KILIMO NA MIFUGO POST HAPA.

MAZAO

VIFAA VYA KUFUGIA 

VIFAA VYA KILIMO

CHOCHOTE TUPIA HAPA.

 
Posted : June 26, 2024 4:01 pm
Mtanga reacted
(@nguma)
Posts: 5
0.000
Topic starter
 
UMUHIMU WA MKULIMA KUTUMIA MBOLEA YA NUTRIPLANT.
Kuna faida nyingi ukitumia mbolea ya asili isiyo na kemikali.
Katika kujali afya yako na jamii yako, mbolea nyingi za kemikali zinakuwa na kiwango kikubwa cha nitrate ambayo hutengeneza heavy metals ambazo husababisha asidi ya mwili kwa mlaji na kupelekea kupata saratani.
Green World international inakuletea mbolea ambayo imetokana na mchanganyo wa asili ambayo inaweza kutatua matatizo yote yanayowakumba wakulima pia watumiaji wa mazao ya wakulima.
SIFA ZA MBOLEA HII
• Huongeza kinga ya mimea dhidi ya Magonjwa na Wadudu wanaoshambulia mazao.
• Kuboresha udongo na wadudu wanaoboresha udongo mfano minyoo ya ardhini.
• Hukuza mazao kwa haraka na kuongeza kiwango cha uzalishaji wa mazao kwa zaid ya 40%
• Kuimarisha photosynthesis
• Kuboresha ukuaji wa mizizi ya mimea, shina na majani.
• lnaboresha ubora na ladha ya mazao kwa kiasi kikubwa.
• Huongeza uwezo wa mmea kupambana na ukame, utasa maana inatunza unyevunyevu ardhini.
• Husafisha mirija ya mfumo wa upitishaji wa maji, chakula na madini mbalimbali katika mmea, Chupa ya lita 1= Tshs 90,000/= unapuliza ekari 3-5 na chupa ya 100mls =Tshs 20,000/=. Kipimo ni 20mls za mbolea kwa maji lita 20. PIA TUNAHITAJI MAWAKALA WA KUUZA MBOLEA HII MIKOA YOTE YA TANZANIA HASA WENYE MADUKA YA PEMBEJEO. TUPO MWENGE-MPAKANI( DSM), WAKULIMA WA MIKOANI TUNATUMA KWA MABASI UKILIPIA GHARAMA ZA MBOLEA.TUPIGIE/WHATSAPP:0718402758/0752977372, FACEBOOK/INSTAGRAM ACCOUNT- REJESHA AFYA
 
Posted : June 26, 2024 4:14 pm
Mtanga reacted
(@mtanga)
Posts: 11
Deposit 50,000
 
FEEDER ZA CHAKULA CHA KUKU
👉Hasara za kuku kupoteza chakula bandani zinaepukika kabisa
👉Sasa waweza kutumia feeder za kufunga za kisasa kabisa na kuepuka hasara
👉Feeder hizi unaweza kuzifunga kwenye Ndoo kubwa na Ndogo
👉Zinatumika kwa kuku wa aina zotee na kwa umri wowote
👉Hazina garama ni nzuri na ngum zaidi
BEI NI SHILINGI 5,000/=TU PIC MOJA
0744344949/0658344949☎️☎️ DZM LILIAN KIBO
MIKOANI TUNATUMA PIA 🚚🚚🚚
⏩️DAR ES SALAAM NA MBEYA UNALIPIA MZIGO UKIKUFIKIA
 
 
Posted : June 26, 2024 4:21 pm
(@mtanga)
Posts: 11
Deposit 50,000
 

@nguma Safi sana.

 
Posted : June 26, 2024 4:22 pm
Faraja
(@faraja)
Posts: 27
0.000
 

Hivi mradi wa ufugaji kuku unahitaji kama mtaji wa bei gani?

 
Posted : June 28, 2024 6:53 pm
Faraja
(@faraja)
Posts: 27
0.000
 

KWA UHITAJI WA BATA AINA ZOTE KARIBUNI WANAPATIKANA UMRI TOFAUTI KUTOKANA NA PENDEKEZO LA MTEJA.
( BEI ZETU NIKAMA IFUATAVYO)

BUKINI MKUBWA 70,000/=
BUKINI MIEZI 3.50,000 /=
BUKINI MWEZI 1.35,000 /=

BATA MZINGA MKUBWA 55,000/=
BATA MZINGA MIEZI 3 35,000/=

KARIBUNI MIKOANI TUNASAFIRISHA KWA GARAMA ZA MTEJA PIA UNARUSIWA KUFIKA SHAMBANI.
TUPO MOROGORO
TUPIGIE/+255743729129

Screenshot 20240630 123102 Facebook

 

 
Posted : June 30, 2024 9:31 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.


Digxam

FREE
VIEW