Mnamatatizo sio bure,kwaiyo mkaona mtuletee habari za Simba makolo hapa kumbe ndio kazi mnafanya?
Habari za Simba zinatuhusunini?
@karuta Eti taarifa kwa umma au ulitka kuandika uma? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Ilanye mnamatatizo sijawai kuona mtu kajipostia habari zake mnamuanda simpost zakwenu nayie post makombe yenu kwani kawazia?
Mkileta habari hizi hii platform mtaiua mapema acheni ujinga nyie futaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@kidedea Nimecheka sana yaani platform ife kisa Yanga wamekosa pakuandika nyie punguza kidogo ujinga 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔
Tikisema tumipige kura kuna timu washabiki wake wataumbuka yaani wamechokambaya!
Kwaiyo habari za Simba ndio zinafanya mlie lie hivi?
Kumekucha.
Hii ni lini I see
Acha ujinga.