HII SUBMITERS INAON...
 
Notifications
Clear all

Prepaid Miters HII SUBMITERS INAONDOA UTATA KWENYE NYUMBA ZA KUPANGA NA MADUKA

5 Posts
3 Users
3 Reactions
991 Views
(@chama)
Posts: 6
0.000 Pay Cash
Topic starter
 

Hii Submeter inakupa uwezo Wa kuweka kiwango cha Unit zako mwenyewe kulingana Pesa uliyolipa. Na Unit zako zikiisha umeme utazima kwako peke yako.

 

Wengine wataendelea kutumia Umeme. Ili kupata Unit zingine, Utanunua umeme utaweka kwenye Luku kuu ya Tanesco halafu utatengeneza Token kulingana kiwango ulichoweka KWENYE Meter kuu ya Tanesco. Kisha HIZO TAKEN utaziingiza kwenye Submitter yako na umeme utarejea kama kawaida kwako. Utengeneza Wa Token unachukua nusu dakika.Kuna mwenye swali?

 

kAMA UNAHITAJI TUKUTANE KWENYE COMMENT SECTION.NIAMBIE SEHEMU ULIPO NIKUPE BEI.

image
image

 
Posted : June 14, 2024 10:51 pm
(@kachara)
Posts: 4
0.000 Pay Cash
 

@chama Mkuu habari hii submitter nitaipata kwa bei gani?


 
Posted : November 1, 2024 7:02 am
(@chama)
Posts: 6
0.000 Pay Cash
Topic starter
 

Bei inategemea na sehemu ulipo.

Kwani uko sehemu gani?


 
Posted : November 1, 2024 7:05 am
Chief GodLove
(@chief-godlove)
Posts: 10
0.000 Pay Cash
 

@chama Niko Zanzibar.


 
Posted : November 9, 2024 3:59 pm
(@chama)
Posts: 6
0.000 Pay Cash
Topic starter
 

Zanzibar hatiki boss.


 
Posted : November 9, 2024 4:06 pm

exp