Notifications
Clear all

PRIVATE TOPIC Naombeni Wazo la Biashara kwa Mtaji wa kati ya Milioni 2-3 kwa Dar es Salaam

25 Posts
13 Users
2 Reactions
151 Views
Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
Topic starter
 

1: UWAKALA WA MITANDAO YA CM
M-pesa
Tigopesa
Airtel money
Halopesa

2: Duka la maziwa fresh+mtindi + juice fresh

3: Banda la chipsi + vinywaji

ANGALAU KWA MWEZI NIINGIZE 300,000 TU

(300,000)

 
Posted : June 9, 2024 9:13 am
Alumando reacted
(@neema)
Posts: 28
 

Italipa zaidi iwapo utapata location nzuri, Ni vigumu kwa fedha ya mtaji kukata, ukilinganisha na hizo option zilizotangulia. @kabandwa  Atatoa mwanga zaidi kati hili.

 
Posted : June 9, 2024 9:27 am
Malingumu reacted
(@marumo)
Posts: 16
Deposit 50,000
 

Banda la chips pasua kichwa, inventories nyingi tena makorokoro madogo madogo. Usimamizi mkali na mauzo yanaweza onekana ila faida ikakosa au ukawa unajipunja kipimo. Kwanza mwanamke na biashara ya chips utatumia nguvu nyingi kwa huo mtaji.

Hiyo ya transactions huwa naona ni ya kukuzia awareness tu kama una biashara nyingine hapohapo. As long as hulipi kodi kuanzisha hiyo biashara, otherwise gharama za uendeshaji ni kubwa huku faida ni kidogo na chances za hasara ni kubwa hasa kwa unayeanza. Ukiitaka hiyo uwe na uwakala wa mabenki pia.

Hiyo ya maziwa angalau. Ila zote tatu zinategemea location zaidi. Location ni muhimu kuliko maelezo

 
Posted : June 9, 2024 9:30 am
Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
Topic starter
 

@neema Asante shost.

 
Posted : June 9, 2024 9:32 am
Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
Topic starter
 

@marumo nimekusoma Asante.

 
Posted : June 9, 2024 9:33 am
Upendo
(@upendo)
Posts: 11
0.000
 

Nianze kwa kukutakia kila la heri. Naona kama hizi biashara ni common sana kwa Dar, hivyo basi unatakiwa upate location nzuri sana. Ukishindwa kupata location nzuri basi jaribu kutafuta biashara nyingine.

 
Posted : June 9, 2024 9:37 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
Topic starter
 

@upendo Noted.

 
Posted : June 9, 2024 9:39 am
(@kashangaki)
Posts: 20
 

Kwakua umelimit hizo ideas tatu then mi nasema stick na ya tatu

 
Posted : June 9, 2024 9:42 am
Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
Topic starter
 

@kashangaki Asante.

 
Posted : June 9, 2024 9:43 am
(@alumando)
Posts: 13
Deposit 100,000
 

Daaah sijui nisemeje ila nipo tayari kukupa sapport kwa kazi zote ulizo orodhesha hapo maana nishawahi kufanya.

Hivo ukianza tu kama utahitaji kijana ambaye mwaminifu na anajitambua nipo hapa na nitafanya kwa ubunifu wa hali ya juu aisee.

Sapport pia kwenye capital ipo ila tu kama location ikawa nzuri nipo tayari kabisa

 
Posted : June 9, 2024 9:47 am
Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
Topic starter
 

@alumando Chante.

 
Posted : June 9, 2024 9:49 am
(@father-house)
Posts: 21
0.000
 

Ishi na namba 3... Hafu unaweza jumlisha na namba 2 kidogo kdoogo... achana na mpesa

 
Posted : June 9, 2024 9:51 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
Topic starter
 

@father-house Sawa.

 
Posted : June 9, 2024 9:53 am
 Zulu
(@zulu)
Posts: 24
0.000
 

Mchawi kuanza. Mtoa huduma alieanza leo analipwa commission tofauti na alieanza miaka 10 iliopita ata kama kwa siku wametoa huduma sawa.

 
Posted : June 9, 2024 9:58 am
Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
Topic starter
 

@zulu ✅️ ✅️ ✅️ ✅️ ✅️

 
Posted : June 9, 2024 9:59 am
Innocent
(@innocent)
Posts: 47
Deposit 50,000
 

Hiyo ya M pesa mchawi location tu na kwa wadada naona inawafaa sana haina mishkeli mingi.

Japo wadau wameipiga vita sana ila kwa mimi ningeichagua hiyo.

Chipsi zina mambo mengi na ni lazima utafute mtu wa kukusaidia, uendeshaji wake ni gharama lakini pia inahitaji sana umchunge mfanyakazi wako, tofauti na mpesa ambayo unaifanya mwenyewe.

 
Posted : June 9, 2024 10:03 am
Suzani
(@suzani)
Posts: 18
0.000
 

Hizi biashara hazitomlipa sababu ya mtaji wake. Mfano location nzuri ya kuweka transactions unakuta inalipiwa kodi sio chini ya 150,000 kwa mwezi na unalipia miezi sita na ya udalali hapo.

Hiyo ni 1M imekata. Hujaweka zile meza ndani na vioo na mashine za mabenki ambazo zinalipiwa hadi 1M kwa CRDB na NMB. Then ndio uje kwenye float.

Ila kati ya zote maziwa angalau

 
Posted : June 9, 2024 10:08 am
Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
Topic starter
 

@innocent 😎 😎 😎 😎 😎 🤩 🤗 🤨 🤔 🤗 🙂

 
Posted : June 9, 2024 10:11 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
Topic starter
 

@suzani 😤 😤 😤 😤 😤

 
Posted : June 9, 2024 10:13 am
Geofy Muhagama A
(@geofy-muhagama-a)
Posts: 13
 

Uza simu (Smartphone) kwa njia ya mkopo

 
Posted : June 9, 2024 10:18 am
(@kidali)
Posts: 16
Deposit 100,000
 

Fungua kiyepe point kama umeona location nzuri.

 
Posted : June 9, 2024 10:20 am
 Beka
(@beka)
Posts: 16
0.000
 

Biashara ya uwakala inaenda kufa au? Mboni watu wanaipiga madongo sana?

 
Posted : June 9, 2024 10:27 am
Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
Topic starter
 

@beka Nahisi

 
Posted : June 9, 2024 10:52 am
Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
Topic starter
 

Asante sana  kwa ushauri mzuri nitaufanyia kazi 

 
Posted : June 9, 2024 11:46 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
Topic starter
 

@beka  Asante

 
Posted : June 9, 2024 3:37 pm

Digxam

FREE
VIEW