Leo tumekuletea ofaa ya kunywa bia tatu za Serengeti Lager tukulipie bili yako kwanjia ya lipa kwa simu.
Usishiriki na waliochini ya miaka 18.Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Nitumie SERENGETI RAGER moja nizimue i see kichwa kizitu asabuhi hii.
Mkuu umefika muda muafaka leta vitu tumwagile moyo.
@zulu Mhh mbona kama parodi hili chief?
Shikamoo Parodi 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Kwanywa Serengeti Ranger 3 kila mtu popote ulipo kisha nitumie Lipa kwa simu nimalizane na waiter Asanteni sana.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Hii ngoja na share kwenye Group letu whatspp 😜 😜 😜 😜 😜 la mojoa moto moja baridi watu watavunjika mbavu. 🍺
Hivi shule zinafungwa lini haya mambo tuliya miss sana hapa jamvini. 😎 😎
Ngoja nipige kambi hapa mlangoni baa, sijui kwanini leo wechelewa kufungua wakiti kila siku wanafungua mapema!
Lazima uwe na miaka 18,vigezo na masharti kuzingatiwa.
🤪 🤪 🤪 🤪 🤪 🤪 🤪 🤪
@serengeti-premium-lager Nimecha kifala sana hadi kila mtu kanishangaa kwenye daladala.
Hakuna hata mtu moja yuko Baa atubwagie screenshot ya muamala ambo tayari umeti tuone.
Ukiijichanganye imekula kwako,hapa ni mwenda wa Paradi kama wangekuwa Serengeti wangekua mark ya Seller hapo juu.
I la hii mitandao ukiwa na strasi umezitaka mwenyewe.
Watu wote kwa umoja wetu kwa wingi wetu basi naomba like yako,naomba share hii offa kwenye mitandao yote ya kijamii kisha twendelee kungoja moja moto moja bari ya Serengeti Lager tu kisha tuma lipa namba kwenye account hii.
Kjua ukweli inabidi mtu moja ajilipue angonge hizo bia utupe mrejesho .
Haloooo!
M-Pesa 886018 hii hapa. nimegonga tatu fasta.
Mkuu hizo hapo
Tunaomba mrejesho tuko baa tayari!
Imetoka hiyo mkuu.
Ngoja tuone.
Hii ni bea moja picha tatu nimesema vigezo na marti kuzingatiwa nikuwa naimanisha.