Leta Tangazo lako la Biashara Tukutangazie kwa Gharama na fuu sana.wasiliana nasi:advertise@digxam.site au Whatspp +8180 2071 7421 or click here.
Sisi wazamani tuna comment wapi?
Let's welcome our new members!
Mimi naitwa Kelvin Sospeter ni admin wa zamu,nasema karibu sana piga keleleeee!
Leta Tangazo lako la Biashara Tukutangazie kwa Gharama na fuu sana.wasiliana nasi:advertise@digxam.site au Whatspp +8180 2071 7421 or click here.
Asante Moderator wetu waza!Mimi naitwa Husain Ally Kanduru ni moderator wa zamu,nasema hivi karibu sanaa nyote!
Leta Tangazo lako la Biashara Tukutangazie kwa Gharama na fuu sana.wasiliana nasi:advertise@digxam.site au Whatspp +8180 2071 7421 or click here.
Asante sana Dura pamoja sana.Sisi wazamani tuna comment wapi?
Leta Tangazo lako la Biashara Tukutangazie kwa Gharama na fuu sana.wasiliana nasi:advertise@digxam.site au Whatspp +8180 2071 7421 or click here.
Asante nasa jamani Mungu awabariki.@dura 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 😆
Leta Tangazo lako la Biashara Tukutangazie kwa Gharama na fuu sana.wasiliana nasi:advertise@digxam.site au Whatspp +8180 2071 7421 or click here.
Asante sana mzee wa Ford Langer vipi umepa umefikia wapi?Asante ungeweka hata kapicha kako ingependeza zaidi.Let's welcome our new members!
Leta Tangazo lako la Biashara Tukutangazie kwa Gharama na fuu sana.wasiliana nasi:advertise@digxam.site au Whatspp +8180 2071 7421 or click here.
Mimimi naitwa Ally Kitogo aka Kanagawa,niko hapa Japan kitambo ukisikia sehemu inaitwa Kagawa mimi ni mwenyeji sana hapa.Ukitaka simu mpya mtumba nicheki nikupe mzigo wakunyooka.
asante ndugu zangu,najisikia kama niko Magomeni Kinondoni na Mwana nyamala.
Kwajina naitwa Erickson Mshange,napatina Mlimani City kwenye Magri ya used kama unataka Gari la mtumba au jipya naomba unitafute namba yangu ya simu ni 0672 846 180 karibuni sana.
Sio lazima kutaja majina yako ya ukweli hapa.
Leta Tangazo lako la Biashara Tukutangazie kwa Gharama na fuu sana.wasiliana nasi:advertise@digxam.site au Whatspp +8180 2071 7421 or click here.
Umeniwahi nilitaka kuliza hivyo.Sio lazima kutaja majina yako ya ukweli hapa.
@shalom 😎 😎 😎 😎 😎 😎
Leta Tangazo lako la Biashara Tukutangazie kwa Gharama na fuu sana.wasiliana nasi:advertise@digxam.site au Whatspp +8180 2071 7421 or click here.
Hapa nikama kuchangamsha platform tu ,kuhusu uasalama kati ya muuzaji na mnunuzi ni kazi ya Digxam na watu wake tukiwepo sisi ambao ni admins moderators tunahakikisha kila mtu ndani ya hii platform muda wote yuko salama bila kujali muuzaji au mnunuzi anatumia jina gani kwenye public,
Angalizo kila mtumiaji wa platform hii ni lazima kujaza hii form bila kujali ni seller au buyer au mtoa huduma ,usipojaza hii formukitakiwa kutoa ushirikiano kwa jambo lolote kama umeagiza au mtoa huduma,admin anaweza kuhitaji taarifa yoyote kutoka kwako nilazima admin awe na na taarifa zako ili kuondoa usimbufu unaweza kujitokeza pindi ampako utakuwa offline.
Kwa wale paid members wote wenye vifurushi mbalimbali kuwa makini jiepushe na makosa madogo madogo ambayo yanaweza kufanya unyanganywe kifurushi kako na kubaki bila membership.
Leta Tangazo lako la Biashara Tukutangazie kwa Gharama na fuu sana.wasiliana nasi:advertise@digxam.site au Whatspp +8180 2071 7421 or click here.
Jina langu naitwa Rama ni mjasiriamali naishi Dar Temeke,nauza Play station za kila aina.
Kuna ubaya tukimjua mwanzilishi na miliki wa hii platform kupitia kwenye nafasi hii ya utambulisho?
@rama Asante sana Rama,Karibu sana.
Leta Tangazo lako la Biashara Tukutangazie kwa Gharama na fuu sana.wasiliana nasi:advertise@digxam.site au Whatspp +8180 2071 7421 or click here.
Siomba kumjua,Kuna ubaya tukimjua mwanzilishi na miliki wa hii platform kupitia kwenye nafasi hii ya utambulisho?
Hii platform ilinzashindwa na kusajiliwa Tanzania,South Africa,Japan na baadhi ya nchi nyingine,kuanzia mwaka 2020 ,inamilikiwa na bwa Emilian Makonda,amasoma shule ya msingi Mwenge shinyanga,Kazima Sec Tabara,Mzaliwa wa shinyanga Majengo mapya.
Kwawale mliosoma Mzumbe kati ya 2010 mnaweza kumjua ni mtu mwenye uzoefu sana na kazi za it,kwasasa yuko masomoni Japan,nadhani akipata nafasi najua unapitapitia mtandaoni anaweza kuja hapa na kutupa hi kidogo,najua uko busy lakini wadau watafurahi ukipita hapa nakutupa hi kidogo kupitia kwenye hii Thread.
Leta Tangazo lako la Biashara Tukutangazie kwa Gharama na fuu sana.wasiliana nasi:advertise@digxam.site au Whatspp +8180 2071 7421 or click here.
Natwa Kilimanjaro mlima wapili kwaukubwa Dunia 😎 😎 😎 🤔 😀 😍
Kama unataka kupanda mlima Kilimanjoro Niko hapa.
Yes hakuna kulemba.Karibu wageni wote tupo muda hapa muda kidogo,niwakumbushe kwamba hapa sio sehemu ya kupiga story kama na kudanganyana huu ni mtandao wa kibiashara sio kama kule tumezoe hapa nikaza nakupa maokoto. 🤣 😆 🤣 😆
Hi!
Hello
SAWA KARIBU SANA.
Karibu sana.
Karibu sanaa!
Karibu sana
Karibuni
Safii sana.
Karibu sana.
Tupo
Kama Gari lako liasumbua niko hapa kwajili yako.Tuko ilala shauli moyo.
Kama wewe ni fundi rangi za Magari karibu sana.
Welcome!
Karibu sana.
Karibuni wageni.
karibu
Karibu sana.
Karibu
Karibu sana
Welcome our new members!
Leta Tangazo lako la Biashara Tukutangazie kwa Gharama na fuu sana.wasiliana nasi:advertise@digxam.site au Whatspp +8180 2071 7421 or click here.
Karibu sana.
sawa.
Karibuni
Karibuni
Nikua nje ya mtandao,karibuni sana,
Hongera sana.
Hii ni platform ya kwetu wote tuitinze jamani,nimefurahi tumejikomboa.
Karibu sana wageni.
Leta Tangazo lako la Biashara Tukutangazie kwa Gharama na fuu sana.wasiliana nasi:advertise@digxam.site au Whatspp +8180 2071 7421 or click here.
Mimi ni ngeni jamani kama kuna mtu anajua jinsi ya kujiunga naomba maelekezo