Kumbe yule jamaaa alikua serious alitoa?
Â
Nifanyie mpango wa simu moja nitakupa 150k.
Nilizikosa kidogo sana unabahati sana.ukiuza nitumia hata elfu 10 mtu wangu.
We are waiting for new offers Madam @YukiÂ
Yaani iliniuma sana,Sikujua kama madam alikua serious.
Hii naitaka mkuu.
Mbona rahisi sana weka balance kwenye wallet yako nikutumie mzigo.Yaani iliniuma sana,Sikujua kama madam alikua serious.
Â
Nitakupa tuombe heriNilizikosa kidogo sana unabahati sana.ukiuza nitumia hata elfu 10 mtu wangu.
Â
Hiyo bei ningumu.Kumbe yule jamaaa alikua serious alitoa?
Â
Nifanyie mpango wa simu moja nitakupa 150k.
Â
Unauzaje bei kubwa wakati simu zenyewe umepewa bure wabongo bwana.
Mshindi wetu ni mpambanaji sana.
Nitaichukua.
Simu 7 kwa kwa 50k @moja anauza 200k ngodi umetema.
Kesho nitakuweka 150k
Hizo zitakuwa simu original hizo
Nakupa pesa zote mkuu,fanya 100k x 700,000
800k chukua fasta zote.
Tayari salio linasoma mcheki adminÂ
Nahitaji simu mkuu tuongee bishara.