Habari kama kuna mtu anaweza kuninununulia simu hapo SouthAfrica nashida na simu ya Samsung Galaxy A43 5G ina HD Camera kuna mtu nilimuona nayo nahitaji.
naomba nitumie picha na bei pamoja na Gharama ya usafiri,Niko Dar.
Hapana hajasema kanunua bei gani na South wapi.
Hapa kkoo sijaenda,kasema hapo bei rahisi sana simu.
Naomba niangalizie madukani zipo,ina Camera mbili nikiona nitaijua nitumie picha nyingi nyingi nichague nitakuambia nikona.
Hapana naijua sema nini nikiona nitaijua hata ukipiga picha moja tu nyuma au mbele nitaijua nitakua hii.
Hapana usibague kazi uwezi jua kazi yangu ikakuunganisha na watu wengi na website yenu ikaaja watu.
Nitashare kwa watu wangu wa karibu ni saidie nitafutie.
Fanya hivi weka 50 kwenye account kama balance nitakusaidia kutafuta ikishindikana utarudidhiwa pesa yako.Hapana usibague kazi uwezi jua kazi yangu ikakuunganisha na watu wengi na website yenu ikaaja watu.
Nitashare kwa watu wangu wa karibu ni saidie nitafutie.
Unataka mpya au used?
Nani atanirudishia sasa ikishindika wewe au nani?
Ok nikimtumia admin nikuambie unitafutie au inakuwaje.
Ukituma nitataona hapo kwenye profile yako sio lazima kuniambia fanya hivyo kesho mapema nikutafutie.
Kumbe sawa nimekuelewa poa poa.
Sioni jinsi ya kulipia.
Jinsi ya kulipia bonyeza hapa
Leta Tangazo lako la Biashara Tukutangazie kwa Gharama na fuu sana.wasiliana nasi:advertise@digxam.site au Whatspp +8180 2071 7421 or click here.
Tayari.
Sawa meona nitakufanyia kazi yako.
kwema.
Exactly
Bei gani?
Rangi iko moja tu?
Piga nyingi nyingi nitumie
Bei gani?
Ok
Inachukua muda gani kufika?
Hii simu bei gani?