Habari natafuta hii Engine nitapata niko Lubumbashi Wanatashi.
Habari mzuri. Karibu.
Share pages zetu ujipatie Zawadi kemkemke,kama Laptops,Simu Janja,Saa za smart nk,kujiunga Bonyeza Link
Hii Engine ni mzima,kuhusu bei najinsi ya kufika hapo Lumbumbashi sijui naomba labda @admin atusaidie.
Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.β β ππͺππΏ
SAWA.
Tunafanyaje?
Ni makumi ngapi hii?
@jancrod-hafashaΒ manunuzi usafiri hadi Dar utalipilia 2ml,kutoka Dar hadi Lubumbashi sijui gharama zake nafatilia.
Asente lakini Taqwa wametunza vibaya njiani wameumiza sehemu ya juu ikapasuka.