Notifications
Clear all

COMPACTOR USED YA MKONO INAHITAJIKA.

6 Posts
2 Users
0 Reactions
395 Views
(@frank-max)
Posts: 3
0.000 Pay Cash
Topic starter
 

Habari ndugu zangu.natafuta compactor ya kutumia mkono kubwa size yskati naweza kuoitata Jess bei gani.


 
Posted : April 1, 2024 12:41 pm
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 546
100M Trade Bond
 

Yes utapata  Compactor boss,weka hata hella kidogo tuingie mtaani.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 2, 2024 7:16 pm
(@frank-max)
Posts: 3
0.000 Pay Cash
Topic starter
 

Hela ya nini mkuu fanya kazi huku hela ngumu sana Tafuta hii machine kwanza.


 
Posted : April 8, 2024 9:33 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 546
100M Trade Bond
 

@frank-max Weka hata 50 mkuu siwezi kutafuta nikudanganye nitoka hapa nitafute high way nilipie pesa kisha ulalembele weka kidogo angala nijue uko serous unahitaji,au ngoja waje wenye nazo wakutumie picha na bei itakuwa rahisi kwako.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 8, 2024 9:36 am
(@frank-max)
Posts: 3
0.000 Pay Cash
Topic starter
 

Kwamakisio zinaeweza kuwa bei gani?


 
Posted : April 8, 2024 9:37 am

corretion

Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 546
100M Trade Bond
 

Sijui nikipata bei nitakuambia.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 8, 2024 9:38 am