Notifications
Clear all

Fiber Boat used Urgently Wanted in Zanzibar.

7 Posts
4 Users
0 Reactions
555 Views
Kabanza
(@kabanza)
Posts: 17
Honorable Member
Topic starter
 

Tuamba bei ya Boat kuanzia grahama za manunu usafiri pamoja na ushuru kwa Zanzibar @Kitengo cha Forodha @Kitengo cha Usafirishaji @Moderator @admin  


 
Posted : March 31, 2024 5:29 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 548
100M Trade Bond
 

Weka hata balance kidogo utashawi tujue kuwa uko serious tumechoka na maneno matupu.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 8, 2024 6:25 am
(@kambanza)
Posts: 6
1K Trade Bond
 

Mkuu itafute kwanza nitumie picha nitumie bei kisha nitumie invoice nikulipe usafirishe mzigo.


 
Posted : April 8, 2024 8:21 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 548
100M Trade Bond
 

@kambanza Sawa,ngoja nakufanyia kazi yako,week hii naimaliza, kuna sehemu kuna boat wanauza japokua ni mbali na hapa lakini  nitajitahidi ndani ya week nitakupa majibu.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 8, 2024 8:25 am
(@kambanza)
Posts: 6
1K Trade Bond
 

Sawa nitakukumbusha.


 
Posted : April 8, 2024 8:26 am

corretion

Arusha Icon
(@arusha-icon)
Posts: 36
3M Trade Bond
 

Habari mkuu vipi umepa mzigo au bado?


 
Posted : February 6, 2025 6:44 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 548
100M Trade Bond
 

Hii bado sijapa.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : February 14, 2025 9:41 pm