Notifications
Clear all

Vifaa vya Car wash vinahitajika

6 Posts
3 Users
0 Reactions
503 Views
Dickson Asanga
(@dickson-asanga)
Posts: 36
50K Pay Cash
Topic starter
 

Mwenye vifaa vya car washing na vifaa vya kufanya Service za Magari naomba mchanganuo.


 
Posted : February 8, 2024 9:28 am
(@Anonymous 1)
Posts: 247
 

Naomba ainisha hivyo vifaa vijulike ni nini na nini nitakupa bei.


 
Posted : February 14, 2024 6:17 am
Dickson Asanga
(@dickson-asanga)
Posts: 36
50K Pay Cash
Topic starter
 

Nitakupa list ya vifaa vyote 


 
Posted : February 14, 2024 8:18 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 546
100M Trade Bond
 

Naingoja.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 8, 2024 6:23 am
Dickson Asanga
(@dickson-asanga)
Posts: 36
50K Pay Cash
Topic starter
 

Nahitaji water pump ya moja na pipe ndefu og yenye ukubwa wa kawaida sio kubwa sana au ndigo sana.

 

Gun mbili zote zitumike kwa pamoja yaani zifunge kwenye pump moja.

 

iwe ya mafuta sio umeme pia kama kuna fiaa Kama air fresh Sabun za kuoshe Magari nitumie picha na bei.


 
Posted : April 8, 2024 8:59 am

Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 546
100M Trade Bond
 

@dickson-asanga sawa.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 8, 2024 9:00 am