Habari waungwana naomba bei ya Rims na Tyari size 14 mzuri
Rims complet utalipia laki sita.
Share pages zetu ujipatie Zawadi kemkemke,kama Laptops,Simu Janja,Saa za smart nk,kujiunga Bonyeza Link
Naomba picha na bei
Bei gani boss na mzigo utaingia lini?
Lipia laki tatu, mzigo kufika sio zaid ya miaezi mitatu.
Naomba utaratibu wakulipia.
@admin ok
Bado nafuu sana