Notifications
Clear all

AGRICULTURE MARKET. NATAFUTA SOKO LA MAHINDI.

5 Posts
3 Users
2 Reactions
628 Views
(@jackson)
Posts: 24
Available 20K
Topic starter
 

Habari za jioni natumaini mko poa.

Naomba msaada wa kufaham soko Zuri la mahindi ndani na nje ya Tanzania lakn pia naomba kufaham namna ya kupata kibali cha biashara hii ya kusafirisha mahindi.


 
Posted : March 4, 2024 5:48 pm
Jackson reacted
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 531
Seller
 

Uko mkoa gani?

 

una tani ngapi za mahindi?

 

weka picha tuone mzigo.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 1, 2024 7:10 pm
Jackson reacted
(@jackson)
Posts: 24
Available 20K
Topic starter
 

@jonson-john Niko Mbeya.


 
Posted : November 15, 2024 4:10 pm
(@jackson)
Posts: 24
Available 20K
Topic starter
 

@jonson-john Zaidi ya Tan 30


 
Posted : November 15, 2024 4:11 pm
(@amos-abichi)
Posts: 5
Balance 0.000
 

Hata mimi natafuta soko la Mahidi niko shinyanga.


 
Posted : February 28, 2025 6:53 pm