Kama unauza au kununua vitu vifutavyo vilivyotumika kwa matumia ya ndani .
Kwajili ya ujenzi wa nyuma.
Nanunua vitu ambayo vimetumika kama nilivyovitaja hapo juu au unahitaji kimoja wapo kati ya hivyo nimevitaja hapa juu. vitu ambavyo vimetumika na baadhi vimefanyiwa ukalabati nitakuuzia kwa bei za kawaida,naomba nicheki hapa kwenye comment section taja,Â
Napatikani Dar Sehemu zifutazo .
Nahida na mtungi wa ges wa Oryx kg 15 unaona?
Nahitaji set ya makochi used iko kibaha maili moja.