Notifications
Clear all

Needed to Congo Alpha Romeo 147 Engine Inatafutwa DRC

(@jancrod-hafasha)
Posts: 8
Honorable Member
Topic starter
 

Habari natafuta hii Engine nitapata niko Lubumbashi Wanatashi.


 
Posted : April 1, 2024 8:19 pm
Moderator
(@moderator)
Posts: 167
Moderator
 

Habari mzuri. Karibu.


 
Posted : April 2, 2024 2:46 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 582
100M Trade Bond
 
Alfa
alfa2

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : April 2, 2024 3:31 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 582
100M Trade Bond
 

Hii Engine ni mzima,kuhusu bei najinsi ya kufika hapo Lumbumbashi sijui naomba labda @admin atusaidie.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : April 2, 2024 3:33 am
(@jancrod-hafasha)
Posts: 8
Honorable Member
Topic starter
 

SAWA.


 
Posted : April 2, 2024 3:36 am

like

(@Anonymous 1)
Posts: 245
 

Tunafanyaje?


 
Posted : April 4, 2024 4:29 pm
(@jancrod-hafasha)
Posts: 8
Honorable Member
Topic starter
 

Posted by: @jonson-john

-- attachment is not available --
-- attachment is not available --
Iko sawa mzee.

Β 


 
Posted : April 7, 2024 8:43 am
(@jancrod-hafasha)
Posts: 8
Honorable Member
Topic starter
 

Ni makumi ngapi hii?


 
Posted : April 7, 2024 8:44 am
(@Anonymous 1)
Posts: 245
 

@jancrod-hafashaΒ  manunuzi usafiri hadi Dar utalipilia 2ml,kutoka Dar hadi Lubumbashi sijui gharama zake nafatilia.


 
Posted : April 11, 2024 4:58 am
(@jancrod-hafasha)
Posts: 8
Honorable Member
Topic starter
 

Asente lakini Taqwa wametunza vibaya njiani wameumiza sehemu ya juu ikapasuka.


 
Posted : May 6, 2024 7:27 pm