Notifications
Clear all

Nahitaji baiskel moja ya laki moja au pungufu ya hapo

4 Posts
4 Users
1 Reactions
53 Views
 Amos
(@amos)
Posts: 1
Honorable Member
Topic starter
 

 
Posted : December 4, 2025 6:03 am
Jonson John reacted
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 568
100M Trade Bond
 

@amos Unataka bsikeli ya watoto watu wazima, maintain au aina gani boss?


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : December 4, 2025 6:28 am
Zulu
 Zulu
(@zulu)
Posts: 33
20M Trade Bond
 

Unataka baiskeli ya aina gani boss na size ngapi?


 
Posted : December 4, 2025 1:40 pm
Lux
 Lux
(@lux)
Posts: 8
Service Provider
 
B3CC4266 9136 478B BD01 84D07E1C089E

hiyo lipia 100,000.


 
Posted : December 6, 2025 1:16 pm