Kama kuna mtu anaweza tafusiri kihaya kwenda kiswahili naomba anisaidia kutafusiri huu wimbo. Nitampa zawadi nono.
@mjasiriamali Ngoja tumuite @kabundamwigusi na @kalagutuka waje watusaidie.
Bahati mbaya sijui vizuri kiswahili ila Saida kwenye huu wimbo alikuwa mbele ya muda,huu wimbo una code nyingi ngumu sana kama ukusoka Quba unaweza usielewe vizuri.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Â
Wahaya kazi kwenu.