Notifications
Clear all

Mambo ya kutembea mtaa kwa mtaa yameisha mchawi bando

5 Posts
4 Users
4 Reactions
77 Views
(@leah-tanzania)
Posts: 2
Honorable Member
Topic starter
 

Nauza pants za kike na boxer za kiume ukitaka niite waziri wa mambo ya ndani.

bei zangu sio za kutisha Nauza kuanzia 2,000 hadi 100k inatagemea unataka mzigo mwingi kiasigani na wenye quality gani.

niko mtaani sina Duka wala nyumba ukitaka bidhaa zangu tukutane hapa.

Utaratibu wangu wa kuuza nakutumia video na picha size unachagua tukikubaliana Naingia nfukoni naweka Trade Bond napokea pesa yangu Nakutumia mzigo wako maisha yanasonga kidigital.


 
Posted : October 17, 2025 7:29 am
Rola reacted
Cheusi
(@cheusi)
Posts: 13
Honorable Member
 

@leah-tanzania Asante kwa Taarifa tutakuwepo.Wekeni hata kapicha ka hizo biashara jamani.


 
Posted : October 17, 2025 7:45 am
Africa Music reacted
Africa Music
(@africa-music)
Posts: 6
Honorable Member
 

Nitakuungisha leta tuzione kwanza


 
Posted : October 17, 2025 8:21 pm
Rola reacted
Cheusi
(@cheusi)
Posts: 13
Honorable Member
 

Kila mtu akikisha unashare kwenye mitandao ya kijamii tatizo mafungua  bias maduka online bila kujua na kufuta taratibu zake.


 
Posted : October 21, 2025 10:34 pm
Rola reacted
Rola
 Rola
(@rola)
Posts: 10
700K Trade Bond
 

Gays mnaongea sana vitendo zero,hapa sio ticktok hapa huna trade band watu watapita seep ya mwanga kwasabu ya michezo ya kuumizana huko mitandaoni. 


 
Posted : October 22, 2025 6:35 am