@sherlyn Msiba Mkubwa sana nimeona pole sana Africa Mashariki na wakenya wote kwa ujumla.
Nimeona imetrend dunia mzima,pole sana wakenya jamaa ndugu na marafiki.
Hatari sana.
Mtu wa watu mzee Odinga,katangulia mbele za haki.
I
la nyieÂ
Niko huku Lubumbashi lakini kila sehemu ni maombolezo ya Baba.
Masikitiko makubwa sana.
Majonzii makubwa sana sana.
Nimeona hara Kanda Bongomani
Kanda Bongo Mani huyo.
Nimemuona hadi Ally Kiba wote wako kenya.
Baba come Baba come
Hatami mikweli baba kaonfoka katuacha wapweke jamani.
Tuko live msibani kenya nitawatumia picha.
Watu ni wengi sana never seen beforeÂ