Automative Starting and Charging System Tutorial.
We are going to learn:
1.Car charging system components.
2.Common charging issues and how to fix them.
I hope you are all ready for your Mechanics lesson
Gharama ya Mafunza ni 10,000 Tsh.
kujiunga na Darasa tuma Private Messenger au comment kwenye comments section.
Lipia fee baada ya kujiunga na Darasa.
Sijalewa hii inakuwaje?
hapa hapa mtandaoni au tunakutana Garage.
Darasa ni hapa online nikuunge?
Nikishindwa kulipa inakuwaje mkuu maana ni vema tukubaliana hapa mchikavu tukiingia ziwani ni kuvua samaki 😋 😋 😋 😋 😋 😋 😋 😋 😋 😋
Siwezi kupata mtu wakunifundisha jinsi ya kufundisha wanafunzi na mimi nianzishe Darasa langu la fundisha jinsi ya kutengeneza simu,nikimpata mtu nitamlipa i see nitamlipoa kidogo wakuu. naomba nicheki kwenye namba yangu hii +255 743 213844 niko kariakoo.
@MJASIRIAMALI kama unajua utakosa basi usikuungi.nahitaji watu serious tu.