@gidion-lazaro Uko Mkoa gani boss wangu nikupe bei pamoja na ghrama za usafiri.
Mswaki upo 1,700,00 nakupa mswaki ukafunge.
Nitakuuzia mswaki 1,8ml Engine uko vizuri sana.
2.8 Engine complete ipo.
@gidion-lazaro Sawa fanya 1.8 nikutumie Engine mswaki pamoja na usafiri.
Mswaki ni kitu gani?
Nahitaji Mswaki