Wana Diaspora popot...
 
Notifications
Clear all

Wana Diaspora popote mlipo naomba tutumia thread hii kukumbuka mchango wa walimu

51 Posts
35 Users
17 Reactions
491 Views
Diaspora Canada
(@diaspora-canada)
Posts: 10
Honorable Member
Topic starter
 

Kwaniaba ya vijana tulioko nje ya nchi yaani  Diaspora pia  vijana wengine wengi walioko sehemu mbalimbali  nchini na wengine wakiwa bado wanasoma shuleni  ningependa kutumia jukwaa hili kuwapongeza Walimu wote Nchini  kwa kazi mzuri ya wito  mnayoinfanya kuhakikisha  vinana wenu tunapata email bora bilakujali changamoto zipi mnazipitia kutimiza majukumu yenu nawapongeza sana,nawashukuru sana Mungu awabariki.

Ndugu zangu wana Daspora ,vijana, na Watanzania kwa ujumla kiu yangu siku moja tukutane na walimu ambao current wanafundisha ngazi ya Msingi na Secondarypia na wastaaf kila moja  atoe shukurani zake  tuwatie moyo,tupige story nyingi za hapa na pale pia tukumbushane mambo yale ya kubatizana majina bila kusahau kuwapa chochotekile bila walimu tena hawa wachini wanakutana na mengisana hapa kwenye kipindi cha kubalehe ni shida sana.

Najua by that time kuna baadhi ya wanafunzi tulikuwa watukutu tukiambibiwa na walimu au  wazazi  tunakuwa wabishi  kunajifanya wajanja sana tunajificha kwenye majumba mabovu ambayo bado yanajengwa au kwenye Play Station na kwenye vibanda umiza na kukwepa kwenda darasani

sasa vipi huku mtaani kwenu kuna  Walimu wanakulazima usome tena sio uko free  vipi maisha yako je, kuna muda unakaa unasema zile heseabu nisingezikimbile au nisingekuwa back benchers nisingekuwa hivi ningekuwa kama fula wakati wanawaza it too later,hii natamani kila mtu atupe story zake hapa kwenye jukwaa hili tulizungumze kwa upana  ili iwe funzo kwa wadogo zetu wanachulia mambo kimzaha.

 

Mwisha kabaisa:kama wewe ni mzazi una watoto  tulia hivivyo hivyo usianze kumtishia mtoto sijui nitakuua nitakuapasua wewe ulipasiliwa na nani tulia kwanza relax kumbuka kipindi hicho ulikuwa binadamu wa namnagani,ulipitisha watu kwenye mazingirani na ulipasuliwa na nani,hakikisha unasaidia wazazi wako kulingana na kipato choko Mungu atakuongezea malakumi ya kinachototoka.

 


 
Posted : October 6, 2025 2:09 pm
Middle Parts, Jonson John, Grace Ngalawa and 3 people reacted
Sniper
(@sniper)
Posts: 102
2.M Trade Bond
 

@diaspora-canada Mleta mada point of Order, Hii thread yako  nadhani umelanga St kayumba,sisi tuliosoma Feza International Tusiime St Marrys  tu comment wapi sasa?.


 
Posted : October 6, 2025 2:26 pm
Diaspora Canada
(@diaspora-canada)
Posts: 10
Honorable Member
Topic starter
 

@sniper Hatanyie hii thread  inawahusu kwani mlijifunza kwa AI sikuna Walimu huku, kawatafute acha ujinga.


 
Posted : October 6, 2025 2:29 pm
Kabanza
(@kabanza)
Posts: 17
Honorable Member
 

Kwaiyo ukiwa hapo Canada umeletewa taarifa kwamba walimu wa Tanzania wanaishi maisha magumu,ukaambiwa watumishi wengine wanaishi maisha ya kifahari?


 
Posted : October 6, 2025 2:59 pm
Diaspora Canada
(@diaspora-canada)
Posts: 10
Honorable Member
Topic starter
 

@kabanza Soma vizuri nilichokiandika,wapi nimeongelea watumishi?  relax dogo kisha jipange upya    njoo na fact sio uzushi,ebu niambia connection ya nilichokiandika na ulicho comment.

  • Wapi nimesema neno watumishi?
  • Wapi nimeasema lazima kila mtu akawapongeze Walimu?

 


 
Posted : October 6, 2025 6:22 pm
Hope reacted

Hope
 Hope
(@hope)
Posts: 12
Honorable Member
 

@diaspora-canada kuna mtu moja aliniambia hivi ukiona mtu anaumia  Walimu kupongezwa kwa kazi ngumu wanayoifanya bila sababu akaniambia   kama sio wana  Yanga  basi ni moja kati ya wale watukutu walikuwa wakipiga walimu mawe  na kujificha mabwenini. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣


 
Posted : October 6, 2025 6:38 pm
(@sunday)
Posts: 20
1K Trade Bond
 

Uzi mzuri sana mkuu,hata mimi natamani tuwape support wanapambana sana,tatizo tunawapataje?  


 
Posted : October 6, 2025 7:01 pm
Suzani
(@suzani)
Posts: 18
Honorable Member
 

Yes  niko pamoja na wewe @Diaspora-Canada inatakiwa kila mtu share hii thread inde viler hadi iwafikie Walimu jamani.


 
Posted : October 6, 2025 10:44 pm
(@sunday)
Posts: 20
1K Trade Bond
 

@Admin tunaomba ulinzi, intele jinsia  zangu sinaonyesha kuna watu wanataka kuvuruga huu uzi😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 


 
Posted : October 6, 2025 10:59 pm
(@enock)
Posts: 23
1K Trade Bond
 

Walimu wa Ruvu  Sec napawa hii sijui kama wapo 👍 👍 👍 👍 


 
Posted : October 6, 2025 11:12 pm

Grace Ngalawa
(@grace-ngalawa)
Posts: 38
1k Pay Cash
 

Kwani Walimu wenyewe wanasemaje?


 
Posted : October 7, 2025 7:10 am
(@sarafina)
Posts: 10
1k Pay Cash
 

@grace-ngalawa Kama kweli tunataka kuwasiliana nao  kila mmoja hakikisha  unawalika  Walimu wengi kwenye hii planform kinyuma na hapo   tunaongea sisi wewenywe bila walengwa kuwepo.


 
Posted : October 7, 2025 7:23 am
(@majid)
Posts: 26
1K Trade Bond
 

Naounga mkono hoja lets Subscribe to this topic .


 
Posted : October 7, 2025 8:15 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 555
100M Trade Bond
 

Posted by: @sniper

@diaspora-canada Mleta mada point of Order, Hii thread yako  nadhani umelanga St kayumba,sisi tuliosoma Feza International Tusiime St Marrys  tu comment wapi sasa?.

Hiyo point of order yako na mimi kama chairperson  nakuambia Take your seat 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 

 


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : October 7, 2025 8:23 am
Diaspora Canada
(@diaspora-canada)
Posts: 10
Honorable Member
Topic starter
 

 

 Haya mane sio ya kwangu.


 
Posted : October 7, 2025 8:45 am

Sniper
(@sniper)
Posts: 102
2.M Trade Bond
 

Kumeanza kuchangamka.


 
Posted : October 7, 2025 8:47 am
Kabanza
(@kabanza)
Posts: 17
Honorable Member
 

Diaspora mnatuzuga nakujifnya mnaupendo sana na Walimu acha usanii,bado tunakesi na nyie rudini nyumbani wengi mlienda kusoma mkamaliza masomo mko mitaani mnazururaa  huko rudi home mkalitumike Taifa lenu.


 
Posted : October 7, 2025 8:59 am
Diaspora Canada
(@diaspora-canada)
Posts: 10
Honorable Member
Topic starter
 

@kabanza huyu jamaa tangu jana anaoneka kuchukizwa na hii Post naomba @Admin tusaidie comments zake zi blacklist  kwenye AI  Awaiting moderation , au mpige ban kabisa kwenye hii post uko mbeleni atatuvuruga sana anaoneka anachuki sana na watu waliomzidi.

Sitaki kuanzisha mada mpya kwenye mada hii.


 
Posted : October 7, 2025 9:10 am
Grace Ngalawa
(@grace-ngalawa)
Posts: 38
1k Pay Cash
 

Posted by: @kabanza

Diaspora mnatuzuga nakujifnya mnaupendo sana na Walimu acha usanii,bado tunakesi na nyie rudini nyumbani wengi mlienda kusoma mkamaliza masomo mko mitaani mnazururaa  huko rudi home mkalitumike Taifa lenu.

Tumevunja sheria hipi?

 


 
Posted : October 7, 2025 9:17 am
Ester
(@ester)
Posts: 3
Honorable Member
 

Posted by: @kabanza

Diaspora mnatuzuga nakujifnya mnaupendo sana na Walimu acha usanii,bado tunakesi na nyie rudini nyumbani wengi mlienda kusoma mkamaliza masomo mko mitaani mnazururaa  huko rudi home mkalitumike Taifa lenu.

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤗 🤗 🤗 🤗 🤗 Wivu huu.

 


 
Posted : October 7, 2025 9:30 am

(@gemimah)
Posts: 8
1k Pay Cash
 

Posted by: @kabanza

Diaspora mnatuzuga nakujifnya mnaupendo sana na Walimu acha usanii,bado tunakesi na nyie rudini nyumbani wengi mlienda kusoma mkamaliza masomo mko mitaani mnazururaa  huko rudi home mkalitumike Taifa lenu.

@Admin tunaomba mpige ban  huyu pimbi anakera.

 


 
Posted : October 7, 2025 9:35 am
Udemy China
(@udemy-china)
Posts: 4
Honorable Member
 

Nitatoa $10,000 kama mchango wangu kwa Walimu endapo nitajilizisha kwamba hii pesa wanaipata moja kwamoja walengwa bila kupitia kwa mtu wapili.

Hii pesa sio kwajili ya kujenga jengo la shule au kujenga miundombinu ya shule hii ni kwajili ya Walimu kufanya matumizi yao.


 
Posted : October 7, 2025 9:57 am
Joy Christoph
(@joy-christoph)
Posts: 6
1k Pay Cash
 

Tuko pamoja Guys mtakachokubalinana nitapata mrejesho.


 
Posted : October 7, 2025 1:35 pm
Kabanza
(@kabanza)
Posts: 17
Honorable Member
 

Nyie mnaojiita Diaspora mnaomba Admin anipige  ban  kwakosa gani?kuwakumbusha  kurudi nyumbani imekuwa nongwa? Ebu jibuni  moja moja  kwanini umekomaa ugaibuni , wote mlioko hapa tayari wame  graduate vyuo mnafanya  nini huko? achana na hizo  ngojera bwanaa rudi nyumbani mnatia aibu au mnangoja kufukuzwa?

Mimi niko na nyie, Admin yuko busy ana majukumu mengi ya kufanya au mnata aje hapa awajibie hoja zenu? mna dekadeka kama mziwanda sio?


 
Posted : October 8, 2025 10:51 am
Ally Kanagawa
(@ally-kanagawa)
Posts: 137
100M Trade Bond
 

@kabanza Kwani hapa kuna mtoto wako ,acha mazoe mabaya kwa watu usio wajua, fanya yako,unataka Tukujibu wewe kama nani au nataka watu warudi nyumbani kwani wanaishi kwenu? au umekuwa mpweke nyumbani kwenu unataka watu warudi wakuasiadie kuosha vyombo? ebu cha utoto acha kuzingua,watu wana wana hoja zenye mashiko wewe unaleta  utoto.


 
Posted : October 8, 2025 11:08 am

Moderator
(@moderator)
Posts: 128
Moderator
 

@kabanza Your account it's permanently suspended, contact the mods (or admin) and ask why it has been  suspended.


 
Posted : October 8, 2025 11:31 am
Merry Ommy, Sniper, Jonson John and 1 people reacted
Diaspora Canada
(@diaspora-canada)
Posts: 10
Honorable Member
Topic starter
 

Twendelea na mada zetu wakuu.


 
Posted : October 8, 2025 11:46 am
Sniper
(@sniper)
Posts: 102
2.M Trade Bond
 

Kituo kinachofata ni wapi?


 
Posted : October 8, 2025 12:02 pm
Hope
 Hope
(@hope)
Posts: 12
Honorable Member
 

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Panya alikatiza  kwa speed ya mwanga.Hawa panya wa mbele ni watundu sana.


 
Posted : October 8, 2025 12:31 pm
Umoja reacted
Merry Ommy
(@merry-ommy)
Posts: 16
20K PAY Cash
 

@hope 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣


 
Posted : October 8, 2025 1:10 pm

Umoja
(@umoja)
Posts: 7
Honorable Member
 

Pia na mimi ni Mwali jamani naomba mnitumia hata $100.


 
Posted : October 8, 2025 8:53 pm
AKAMBA
(@stomatolog_xwsn)
Posts: 23
2.M Trade Bond
 

Pia na mimi ni teacher kwenye mgao nimo.


 
Posted : October 8, 2025 9:05 pm
Diaspora Canada
(@diaspora-canada)
Posts: 10
Honorable Member
Topic starter
 

hakikisha mnashare hii post hadi tuwafikie walimu wenyewe na sio hawa wa mchango.


 
Posted : October 9, 2025 8:35 am
(@mjasiriamali)
Posts: 28
20K Trade Bond
 
Screenshot 20251009 145841 X

Kuna Teacher  moja mwanangu sana, nikipata namba yake nitamwambie aje hapa awape hi masela.

Wanafunzi wote ambao walikuwa wamepinda  aliwanyoosha   baada ya mwamba kuahamia shuleni  kwetu kimkakati,wahuni wote walijikataa walijisalimisha ndani ya week moja,ukijichanganya  ukaingia kwenye nfumo  unapotea.

Zamani wanafunzi walikuwa wanaanza shule wakiwa na umri  mkubwa,siku hizi  hakuna vibes  kama zamani wanafunzi ni wadogo sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣


 
Posted : October 9, 2025 12:18 pm
Kabandwa, MKEREWE and Kandida reacted
Kandida
(@kandida)
Posts: 26
1K Trade Bond
 

@mjasiriamali Hawa watoto wa 2000 nakiasi siku hizi wanakaa meza moja na Walimu wanapanga harakati jinzi ya kuendesha maisha ya school,ndiomaana madogo  wanazingua sana mtaani🤗 🤗 🤗 🤗 🤗 🤗 🤗.

 

 

 


 
Posted : October 9, 2025 12:50 pm

Jack
 Jack
(@jack)
Posts: 18
50K Trade Bond
 

@kandida Kipindi cha nyuma wanafunzi walikuwa wakarofi sana bila kuwakazia unavuna mabua sio kama siku hizi wanafunzi  wanapambana bila hata kuchapwa.


 
Posted : October 9, 2025 1:00 pm
MKEREWE
(@mkerewe)
Posts: 15
5K Trade Bond
 

@mjasiriamali Teacher anakuambia hivi 'kama kuna mtu anabisha anyooshe  mkono au jifanye kama unajikuna kichwani. Teacher lazima uwe na mkwala,ukiingia shuleni wanafunzi wote kimya 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 ukweli nikwamba ukizoana na  mbwa anakufata msikitini,siku zote kama ni Mwalimu wanafunzi wanatakiwa mikausho mikali sana,siowakupiganao selfe,labada wale wadogo sana wa wachekechea .

Siku hizi nakisikia fimbo moja tu kosa  kubwa sana, hawa wa 2000 wakichapwa kidogo tu kosa wanazimia sana na nakupoteza fahamu hadi  inatwa Ambulance  wanapelekwa hospital anaitwa mzazi kwenda kuunguza mambo yanakuwa mengi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 


 
Posted : October 9, 2025 1:37 pm
(@karama)
Posts: 12
Service Provider
 

Back benches hata ulaya wapo sio bongo tu.


 
Posted : October 10, 2025 8:32 am
Mziwanda
(@mziwanda)
Posts: 14
1k Pay Cash
 

@karama Hivi adhabu ya viboko ulaya ipo? mtu kama huyu wenzake wanasoma yeye anapiga baruti darasani unamuachaje kwanfano?


 
Posted : October 10, 2025 8:46 am
Ngaliba
(@ngaliba)
Posts: 42
1k Pay Cash
 

@karama Hizo bangi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣


 
Posted : October 10, 2025 8:53 am

Diaspora Canada
(@diaspora-canada)
Posts: 10
Honorable Member
Topic starter
 

@karama 🤩 🤩 🤩 🤩 🤩 🤩 🤩 🤩 🤩 🤩 🤩 🤩


 
Posted : October 10, 2025 11:05 am
(@steven-mlawa)
Posts: 5
Honorable Member
 

Menikumbusha mbali sana.


 
Posted : October 10, 2025 11:07 am
(@kabandwa)
Posts: 44
30K Trade Bond
 

@mjasiriamali Hapo patamu 😎 😎 😎 😎 😎 😎


 
Posted : October 11, 2025 8:52 am
(@mandela)
Posts: 20
2.M Trade Bond
 

Hawa wako wengi mtaani wanazingua hadi Police.


 
Posted : October 11, 2025 1:12 pm
 Dudu
(@dudu)
Posts: 7
Honorable Member
 

Nitatoa $1,000 kwajili ya Walimu.


 
Posted : October 12, 2025 1:54 pm

Middle Parts
(@middle-parts)
Posts: 10
2.M Trade Bond
 

Leta account tuweke mzigo  acha maneno mengi.


 
Posted : October 13, 2025 4:22 am
(@kashangaki)
Posts: 22
1k Pay Cash
 

Kuna Mwalimu wangu moja nikimuona sijui nitampa zawadi gani.

Nnimesoma Buyekera S/M katika level ya msingi,hii shule iko Bukoba mjini sehemu moja inatwa buyekera pia tulikuwa tunaishi mitaa hiyo.

wakati tunasoma pale Buyekera tulikuwa Wadogo sana lakini tulikuwa watukutu hatari tulikuwa na Group la watu tano tunajiita G5 mimi nilikuwa kiongozi mkuu wa G5 na mwanangu moja msaidizi wangu anaitwa Bosco tulikuwa tunamuita jina la utani Bosco Mtaganda.😎😎😎

Sikumoja tulijichanganya tukatoroka shule tukaenda sehemu zenye majengo mapya kwalengo la kuomba kazi ndogo ili tupate pesa twende kwenye vibanda umiza tukaangalie move za akina Shwaziniga na Rambo.

Safari ikaanza tukafika site ya kwanza wakatufukuza tukakimbia tukaenda site ya pili.

Kumbe ile site ilikuwa ya Mwalimu wetu moja pamoja na kazi yake ya  kufundisha alikuwa mcheza judo na mrefu kapanda hewa,tukafika site tukaingia ndani uso kwa uso kasimama anangalia mafundi wakijenga.

Tulitimua mbio kila moja kambilia njia yake nilisikia akiingea neno moja la kingereza do not run don’t run 🏃‍♂️ 🏃‍♀️ 🏃 nimewajua wote rudini nikasema leo tumeyakanyaga🤣🤣🤣

Akarudi shule ikapita rokoo majina yetu yakaweka wanted list, tuka trend shule nzima tukapata umaarufu ndani ya muda mfupi kwajinsi mwalimu alivyo simulia tukio hilo.Kisha akawapa maelekezo wanafunzi akawaambia tujisalimishe haraka sana office kwake kabla mambo ayajawa  mengi.

Kesho yake asubuhi tukajisalimsha   tukamwambia ukweli kwamba nini sisi tulikukimbia jana  kule site,akacheka akatupeleka mbele  rokoo ikapita tukajitambulisha kwa majina yetu na tukio tulilolifanya mbele ya wanafunzi kisha tukaongozana  kulikuwa na ukumbi pale shuleni, tukaingizwa ndani ya ukumbi tulihojiwa zaidi ya masaa matatu akachukua maelezo yetu bila kumchapa mtu  kisha tukarudi Darasani.

Kwanini  alituacha  bila kutuchapa,yule mwalimu alituone huruma tulimueleza ukweli mwanzo mwisho tukamwambia matukio yote ambayo tumewai fanya pale shule tukamueleza na mipango yetu yote ya baada kuhusu G5,tulifanya hivyo kwasabu tulijua  tumekwisha.Yule Teacher alikuwa mtanta kwaiyo tukajipanga kusema ukweli.

kwasabu tulijutia ule ujinga tukapewa onyo kalisa na kuripoti kila siku na  kuonyesha maendeleo yetu  ya masomo kila siku.

chakushangaza kuna baadhi ya wanafunzi waliumia sana kwakuto kuchapwa🤣🤣🤣

 

 


 
Posted : October 17, 2025 9:39 am
(@prince)
Posts: 7
Honorable Member
 

Siku hizi mambo yamebadilika sana ebu angalia ubao ukilinganisha na kipindi cha nyuma.

Angalia uubaoj jamani rangi ilivyopouka umekuwa white badala ya black.

Enzi zetu tunasoma kila Darasa ubao unakuta mweusi umepakwa  rangi nyusi tii sio kama siku hizi.


 
Posted : October 17, 2025 11:05 am
Sniper
(@sniper)
Posts: 102
2.M Trade Bond
 

@prince Muda unavyosogea tutatajua sababu kwanini watoto wa 2,000 ni wakorofi 


 
Posted : October 17, 2025 1:29 pm
(@shekhe)
Posts: 5
Honorable Member
 

🤣🤣🤣👏👏👏👏👏✍️✍️✍️✍️🏃🏃🏃🏃


 
Posted : October 19, 2025 8:49 am

(@mandela)
Posts: 20
2.M Trade Bond
 

Nani akumbua mashindano haya?


 
Posted : October 20, 2025 4:11 pm