Notifications
Clear all

URGENTLY WATENTED 3S RAV4 Engine wanted

18 Posts
4 Users
2 Reactions
164 Views
(@ramadi)
Posts: 10
3 ml Balance
Topic starter
 

Kama kuna mtu mwenye Engine ya 3S naomba tukubalie hapa ninunue hii ya kwangu imeshindikana

 niko Sehemu moja inaitwa Kiserwa jirani na Ukerewev.Hii ya kwakungu nimefungua nimekuta ni mbovu kila kitu ya kupima.

633256AA F420 46C4 A842 02D78D6C2881

 


 
Posted : September 24, 2025 8:51 pm
Mziwanda reacted
Mziwanda
(@mziwanda)
Posts: 13
Available 20K
 

@ramadi Unaka yoyote kesho niamke nayo?


 
Posted : September 24, 2025 9:26 pm
Ramadi reacted
(@ramadi)
Posts: 10
3 ml Balance
Topic starter
 

@mziwanda mtumba Japan boss unayo nipe bei hakikisha isiwe na kipengele chochote.


 
Posted : September 24, 2025 9:30 pm
Mziwanda
(@mziwanda)
Posts: 13
Available 20K
 

@ramadi Mbona uko na zero balance pesa yangu naipataje?


 
Posted : September 24, 2025 9:32 pm
(@ramadi)
Posts: 10
3 ml Balance
Topic starter
 

Unataka niweke ngapi wakati hata Engine yenyewe bado hata bei hujui bei gani ebu kuwa serious kidogo,


 
Posted : September 24, 2025 9:36 pm

Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 531
Seller
 
3s

Engine yako kama hii?


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : September 25, 2025 2:18 pm
(@ramadi)
Posts: 10
3 ml Balance
Topic starter
 

@jonson-john Exactly how much.Hii Engine iko Bongo mkuu?


 
Posted : September 25, 2025 2:26 pm
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 531
Seller
 

@ramadi 3ml mzigo uko Japan ukilipia nakupakilia mzigo wako,mzigo ukifika Dar utajulishwa,hii mashine kali inatema maji.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : September 26, 2025 11:42 am
Kasanga Tumbo
(@kasanga-tumbo)
Posts: 6
70K Balance
 

@jonson-john Utachukua muda gani kufika,je kuna mtu mwingine mwenye Engine hii jamani tufanye biashara?


 
Posted : September 26, 2025 1:27 pm
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 531
Seller
 

@kasanga-tumbo mwezi wa 10 mwishoni.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : September 28, 2025 6:02 am

Kasanga Tumbo
(@kasanga-tumbo)
Posts: 6
70K Balance
 

@jonson-john Sawa nakungojea boss wangu.


 
Posted : September 28, 2025 6:12 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 531
Seller
 

Posted by: @kasanga-tumbo

@jonson-john Utachukua muda gani kufika,je kuna mtu mwingine mwenye Engine hii jamani tufanye biashara?

Kwani nani kati ya wewe na @Ramadi anataka hii Engine mbona mnanichanganya?

 


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : September 28, 2025 6:18 am
(@ramadi)
Posts: 10
3 ml Balance
Topic starter
 

@jonson-john Mini ndio nataka hii lakini  @Kasanga-Tumbo nifundi alinielekeza kwenye hii planform, nisipokuwa online anaweza kutuma requst yeye bro.

Hii Engine iko paid tayari kama unaweza kuona my account yangu so i am wating for you.


 
Posted : September 28, 2025 6:24 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 531
Seller
 

@ramadi Sawa. lakini   umetumia kulipia account gani  mbona  hii iko zero au unamiliki account ngapi mbona mnanichanganya?


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : September 28, 2025 6:33 am
(@ramadi)
Posts: 10
3 ml Balance
Topic starter
 

@jonson-john Tatizo nini boss malipo yakilipwa kupitia account yoyote kuna shida Gani kwani?


 
Posted : September 28, 2025 6:40 am

Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 531
Seller
 

Posted by: @ramadi

@jonson-john Tatizo nini boss malipo yakilipwa kupitia account yoyote kuna shida Gani kwani?

Shida ipo ukiwa mbishi hii mashine sipakii, kila mtu abaki na chake,wewe umefungu hii thread kwa account gani unata ulipie kwa account gani? unataka ulipe kwa account tofauti na hii maanayake  nini ?

Kama ume deposit pesa kwenye account nyingine kimasoka tofauti na hii bodo mapema,mwambie admin akusaidie  kuhamisha na kuileta  hiyo pesa kwenye account hii, tofauti na hapo sipakii Engine hadi nione balance kwenye account hii..

 


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : September 28, 2025 6:50 am
(@ramadi)
Posts: 10
3 ml Balance
Topic starter
 

@jonson-john Sio kwamba nakuchekecha bro mimi mgeni kwenye hizi mambo za online ndio maana sielewi kipi ni kipi,basi sawa mambo yasiwe mengi  ngoja namcheki admin,aweke mambo sawa nakurudia soon.


 
Posted : September 28, 2025 7:00 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 531
Seller
 

@ramadi Mgeni una account ngapi?  Usipateshida kurudi hapa na kuongea sana weka  balance kwenye account yako hii  uliotumia kufungulia hii thread  nitaona nitaendelea na progress kama tulivyo kubalina.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : September 28, 2025 7:08 am