Habari ndugu zangu watu Mungu,
Nahitahi vifaa used kutoka Japan moja kwa moja na sio ilala au madukani.Code ni CBA-ACU30W
Kama uko Japan naomba tuwasiliane kupitia jukwaa hili,nahitahi kwajili ya Gari langu.
1.Engine ya Toyota Harrier A2Z full ikiwa na control box yake.
2.Radiator system ikiwa full na fan zake na kibuyu cha kutunzia maji.
bajati yangu ni 2ml.Sio maneno matupu Bali Balance imo kwenye wallet mzigo ukifika nalipa
@shalom Utapata kwa 3ml kilakitu hadi mkononi.
Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿
Ipo naiuza 2ml niko Mbeya town
Ya Mbeya hapana.
Mbona ilala zipo za kutosha nenda kachague.
Hii iko full na vifaa vyake vyote pamoja na control box yake bado bei yake ya kawaida sana.
kama uko serious njoo private tumalize hii biashara
Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿
@shalom Week 3 hadi mwezi moja,unalipia kabisa pesa zote unangojea mzigo wako.
Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿