Notifications
Clear all

OMBO!Ili Kuwafikia watu Wengi Au Site kwenda Viral Nakuomba Share Pages Kadiri ya Uwezowako na Mungu Akubariki. by admin Sinyorita.

Nani antakahii washing machine kampuni ya sharp

13 Posts
3 Users
0 Reactions
150 Views
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 470
Seller
Topic starter
 
image
image
image
image
image

Nani antakahii washing machine kampuni ya sharp?

kama unahitaka comment hapo chini.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : August 16, 2025 10:05 am
Senator
(@senator)
Posts: 4
Balance 0.000
 

Hii machine inauzwa au zawadi?

 
Posted : August 16, 2025 1:16 pm
(@Dudu Ambiance)
Posts: 6
 

Naomba nigawie mimi boss wangu

 
Posted : August 16, 2025 1:18 pm
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 470
Seller
Topic starter
 

Hii nauzwa lakini sio mpya ni mtumba original kama unahitaji toa 350,000 tu.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : August 16, 2025 1:26 pm
(@Manushi)
Posts: 3
 

Cahangamoto inakuja kwenye hiyo lugha hii machine ni mzuri sawa lakini unaitumiaje na hiyo Lugha?

 
Posted : August 16, 2025 1:35 pm

Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 470
Seller
Topic starter
 

Hii lugha isikutishe bosi tuna tafsiri kilakitu 

hapo kuna kuosha na kukausha

kuna kuosha bila kukausha 

kuna kukausha bila kuosha 

kutana sehemu ya kuchagua aina ya Nguo

 

nitakubanfikia stika ya kingereza au kiswahili. 

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : August 16, 2025 1:42 pm
(@Anonymous)
Posts: 0
 

Nitumie video yake inavyofanyakazi ni machine ya kufulia  ,nguo

 
Posted : August 16, 2025 1:47 pm
(@Anonymous)
Posts: 0
 

Naweza kuipata wapi

 
Posted : August 16, 2025 1:50 pm
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 470
Seller
Topic starter
 

Hii machine iko Japan, nitakutumia video hapa uine ni mzima kabaisa, bei yake ni hiyo.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : August 16, 2025 1:54 pm
Senator
(@senator)
Posts: 4
Balance 0.000
 

@jonson-john Utabandika stika ya maelezo namna yakuitumia sio?

 
Posted : August 16, 2025 2:02 pm

 

AGIZA SIMU ORIGINAL KUTOKA JAPAN,KUANZIA 50,000 TU .

Itachukua Muda wa Week Moja Hadi Mwezi Moja Kukufikia.

Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 470
Seller
Topic starter
 

@senator Yes.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : August 16, 2025 2:04 pm
Senator
(@senator)
Posts: 4
Balance 0.000
 

Bei ya kuuza ni ngapi?

 
Posted : August 16, 2025 2:13 pm
(@Dudu Ambiance)
Posts: 6
 

Bei  kubwa hiyo kaka,kula 150k chap kwa haraka.

 
Posted : August 16, 2025 2:30 pm

Leave a reply

Author Name

Author Email

Title *

My Media   or drag and drop it here. Max file size 1GB
 
Preview 0 Revisions Saved

DIGXAM

FREE
VIEW