Notifications
Clear all

Natafuta Engine ya Toyota Harrier A2Z

1 Posts
1 Users
0 Reactions
20 Views
Shalom
(@shalom)
Posts: 42
2.ml Balance
Topic starter
 

Habari ndugu zangu watu Mungu,

Nahitahi vifaa used kutoka Japan moja kwa moja na sio ilala au madukani.Code ni CBA-ACU30W

Kama uko Japan naomba tuwasiliane kupitia jukwaa hili,nahitahi kwajili ya Gari langu.

 

1.Engine ya Toyota Harrier A2Z full ikiwa na control box yake.

2.Radiator system ikiwa full na fan zake na kibuyu cha kutunzia maji.

bajati yangu ni 2ml.Sio maneno matupu Bali Balance imo kwenye wallet  mzigo ukifika nalipa 

 

 

 

 

 
Posted : July 30, 2025 6:31 am

Leave a reply

Author Name

Author Email

Title *

My Media   or drag and drop it here. Max file size 1GB
 
Preview 0 Revisions Saved

DIGXAM

FREE
VIEW