Notifications
Clear all

WAUZAJIWA DAGAA AINAZOTE TUKOHAPA

21 Posts
9 Users
4 Reactions
315 Views
Kalagutuka
(@kalagutuka)
Posts: 22
Seller
Topic starter
 
  1. IMG 20250504 WA0014
    IMG 20250504 WA0007
C80C38F5 F5EB 4946 BE87 0B86B49EF961

 

6E29E95C 3E31 4902 BD85 D461D4AC1DD9
D6B50D92 67BB 4202 AE86 60089DFE2C49
B2595FF6 FF5E 4FC3 AB50 C903D7F76188
97C29172 5862 495F 91DD FC8280B85053
4C302200 C260 4554 9372 4236D0D0803E
EEB694AA 06C0 46D5 9591 9B28FD49B1F6

Kama unahitaji Dagaa kwajili yako binafsi au biashara bei nikama hivi.

1.Dagaa wakavu kg 8,000 kuanzia kg 100 kwendelea 

2.Dagaa wakukaanga wabichi kutoka ziwani ndoo kubwa bei yake ni 90,000 kuanzia ndoo mbili.

 

3.Dagaa wakavu wakukaanga bei yake kwa ndoo ni 70,000 kuanzia ndoo mbili.

4.Dagaa wabichi kg 10,000

kwawale wanaonza biashara nitawapa offa ya punguzo ya bei ili kuwatia moyo waanzapo biashara.

 

Mfumo ninautumia kufanya biashara ni huu hapa,hakikisha unaweka balance kwenye wallet yako.

Nitamtumia mteja wangu mzigo mwenye kuwa na pesa kiasi kinacholingana na bei ya Dagaa kulinga na bei nilizozitaja hapo juu.

 

Siweki namba ya simu hapa kwasabu kuna matapeli wanapiga simu na kunibabaisha kama unataka mawasiliano yangu Tuma private Messeges nitumie namna yako nitakuoigia ili kupunguza kucha hapa kwenye comment section,kupiga simu aimanishi kwamba nitakutumia mzigo bila kulipia hapa nilazima ulipie ndio nikutumie mzigo.

 

 Kama unaswali uliza kuuliza ni bure sio lazima uwe na balance kwenye account yako.

 

 

 
Posted : May 10, 2025 2:38 am
MKEREWE, Kandida and Shalom reacted
Shalom
(@shalom)
Posts: 41
Available 100,000
 

@kalagutuka Huu mzigo unapatika sehemu gani?

 
Posted : May 10, 2025 2:45 am
Kandida
(@kandida)
Posts: 24
Balance 0.000
 

😀 😍 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hivi unajua maana ya Kalagutuka?

 
Posted : May 10, 2025 2:48 am
Kalagutuka reacted
Kalagutuka
(@kalagutuka)
Posts: 22
Seller
Topic starter
 

@shalom Ziwa victor Kisiwa cha Katunguru wila Mleba.


 
Posted : May 10, 2025 2:52 am
MKEREWE
(@mkerewe)
Posts: 10
Seller
 

@kalagutuka Hii ni Ndoo au ni Dish?

 
Posted : May 10, 2025 2:57 am
Kalagutuka
(@kalagutuka)
Posts: 22
Seller
Topic starter
 

Posted by: @kandida

😀 😍 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hivi unajua maana ya Kalagutuka?

Unacheka jina langu sio,maana yake ni kalahendeka.

 

 
Posted : May 10, 2025 3:01 am
Kalagutuka
(@kalagutuka)
Posts: 22
Seller
Topic starter
 

@mkerewe Dish samahani nimeteleza kidogo.

 
Posted : May 10, 2025 3:02 am
Jack
 Jack
(@jack)
Posts: 13
Customer Current Balance 125,000
 

Utawatumaje Huku?

 
Posted : May 10, 2025 7:27 am
Kalagutuka
(@kalagutuka)
Posts: 22
Seller
Topic starter
 

@jack Natuma ndani na nje ya nchi kupitia kwenye hii platform.

 
Posted : July 4, 2025 5:13 am
(@nyraha)
Posts: 1
Customer Current Balance 700.000
 

Nahitaji  number mbili niko Dar,nimekutumia Private message piga nikupe maelekezo.

 
Posted : July 4, 2025 6:45 am
Kamote
(@kamote)
Posts: 3
Balance 0.000
 

Mimi nahitaji wabichi?

 
Posted : July 4, 2025 7:04 am
(@pandu)
Posts: 4
Balance 0.000
 

Nahitaji wakavu kwajili ya Biashara.

 
Posted : July 4, 2025 7:06 am
Kalagutuka
(@kalagutuka)
Posts: 22
Seller
Topic starter
 

@jack Wapi huko.

 
Posted : July 4, 2025 7:07 am
Kalagutuka
(@kalagutuka)
Posts: 22
Seller
Topic starter
 

@nyraha Naandaa mzigo wako nitakupigia unitumie address yako au nitumie PM.

 
Posted : July 4, 2025 7:09 am
Kalagutuka
(@kalagutuka)
Posts: 22
Seller
Topic starter
 

@kamote Karibu sana.

1.Chagua kundi la Dagaa 

2.weka salio

3.Tuma Address 

Staki mambo mengi na kupoteza muda

 
Posted : July 4, 2025 7:13 am
Kalagutuka
(@kalagutuka)
Posts: 22
Seller
Topic starter
 

@pandu Weka Salio nikutumie mzigo ukipokea mzigo wako nilipe pesa yangu

 
Posted : July 4, 2025 7:17 am
Kalagutuka
(@kalagutuka)
Posts: 22
Seller
Topic starter
 

Kama umepokea mzigo wako naomba release pesa yangu kwenye wallet usikae nayo kwasabu uwezi kuitoa ikayoka unapoteza muda wako na kuchelewesha pesa zangu.

 
Posted : July 4, 2025 7:21 am
Kalagutuka
(@kalagutuka)
Posts: 22
Seller
Topic starter
 

Wote miliagiza Dagaa wa bichi Lipia mzigo uko Tayari.

 
Posted : July 4, 2025 7:38 am
Kalagutuka
(@kalagutuka)
Posts: 22
Seller
Topic starter
 

Wote miliagiza Dagaa wa bichi Lipia mzigo uko Tayari.

 
Posted : July 4, 2025 7:39 am
 Dudu
(@dudu)
Posts: 2
Balance 0.000
 

Wakukaanga 

 
Posted : July 4, 2025 1:08 pm
Kalagutuka
(@kalagutuka)
Posts: 22
Seller
Topic starter
 

@dudu Pesa iko wapi?

 
Posted : July 4, 2025 1:19 pm

Digxam

FREE
VIEW